Wakuu hii ni aina ya satellite inayotumika katika Communication process kama Televisions kwann Sat hii iko fixed nashindwa ku imagine kuwa inatembea same speed na earth kiaje observer aione inaonekana fixed wakati iko kwenye mwendo? Je nini kina ipa Sat yoyote speed baada ya kukaa kwenye orbit...
Habari za wasaa huu Nilikuwa naomba ufafanuzi kidogo Hivi hawa Wanaopitisha umeme wa Mradi yani Rea gharama za kuingiziwa umeme ni sh ngapi? Je nina uhitaji wa kwenda kuchukua kadi tanesco na kumuambia fundi wangu aandae mchoro na kutafuta contractor wa kusaini Hio kadi Au?
Cc Koleba
Mionzi pekee inayoathiri body structure ya mwanadamu ni Gamma Rays hii ndio ina High Frequency Sambamba na x ray hii ya simu ni kidogo mkuu haina effect ya kuwwza kupunguza capacity ya mtu
Ni taifa Lenye watu wenye jitihada ya kutafuta maarifa Ndio maana wakatuzunguka kwa kuqndika vitabu kuwa wamebarikiwa na ni Taifa teule. Hili halipo ni shauku ya kutafuta maarifa na kujifunza Mengi ndo kumewaweka Bora
Habari wana bodi,
Mimi ni Kijana ninae subiri kusonga mbele kimasomo kwa wakati huu ambao niko Free ningeomba tempo popote ya Field yangu hii ya umeme kwani nina uzoefu nayo.
Vitu ninavyoweza kwa ufasaha
-Domestic Installation yani umeme wa majumbani wote
_Planning and diagram preparation...
Na mimi niongezee swali apa apq je mtu aki reset anapewa cheti kipya cha hayo masomo aliyo rudia? au kinatokq cheti kimoja kikijumuisha na masomo ya kile cha mwanzo
Pass marks kwa four zipoje upande wa science subiri mwezi wa tano Technical colleges watafungua milango kwa pre entry candidates ambapo ina take around wiki nane mpaka kumi ukipita apo uta join ordinary diploma Three years then degree Usikate tamaa ndugu
Wakuu gharama zipoje kwa wanaorudia paper ya form four Mfano anaetaka kupiga paper mbili au tatu na je cheti cha mara ya kwanza na hiki inakuwaje apo vinaungwa au unakuwa na viwili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.