Mkuu hii picha imepigwa na na mpiga picha mmoja wa Ikulu,na ndiye ametuma kwenye hizo media nyingine yawezekana hawakuwa wapiga picha wa vyombo vingine,tatizo ni la mpiga picha kuwa na picha moja tu.
Kama kuna kampuni ya simu mbovu basi ninyi ndio kilanja wao,najuta kusajili mtandao huu na suala la muda tu itakuwa kwenye pipa la takataka vipande vya sim card yenu.
Sasa wawe wavumilivu kwa miaka mingapi mingine?wewe hapo kazini kwako ukiambiwa vumilia kwa miezi miwili mshahara wako utaweza kuvumilia?mbona majibu hayaendani na majibu kwa wana Msalato?
Yeye mwenyewe mnufaika hawezi akakubali,lakini pia kama mchanganuo ndiyo huo kwanini zipitie kwa mbunge hata hizo ambazo siyo zake?mbona hatujawahi kufanya mkutano majimboni kuelezea matumizi ya hizo pesa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.