wanabodi hawa jamaa wa Chemonics walitangaza kazi kama kuna mtu ameitwa kwenye intetview basi ni vema tutaarifiane. kama unavyojua usipofanikiwa hupewi taarifa hivyo taarifa yako itatupa habari kuwa tayari watu wameitwa. asante
Aibu kubwa kwa nchi yetu inayoletwa na nyie nyie Airtel. Vodacom na Tigo kwa kukazania kuongeza minara Tanzania nzima huku mkiacha service yenu ikiwa mbovu kabisa. Huwezi amini kuwa ndani ya Dar hii maeneo mengi tu hupati kabisa reliable internet service. Hawa Vodacom ndiyo kituko kabisa eti...
Ndugu watanzania, Mabibi na mabwana.
Jambo alilianzisha Ndugu Zitto ni nafasi nyingine ya kurejesha uwajibikaji Serikalini kwa ajiri yetu na kizazi kijacho. Nafsi kama hii ilikuja 2008 na tukawaachia wabunge pekee kufanya maamuzi na mwishowe Ndugu Sitta na rafiki yake Mwakyembe wakatuchakachua...
Inaonekana kila ukikanyaga tunafungwa sasa uamuzi ni wako kama unataka tushinde au !
Kumbukumbu za karibuni
Tulifungwa mechi muhimu na msumbiji-Ulikuwepo, na Morocco ambako ulipiga kampeni na bila kusahau mechi ya ufunguzi!
Naona mpaka Judge Mkuu kaingia mkenge akizani video wanayo TBC peke yake. Sasa kwenye hii vieo kuna matusi gani jamani Wewe Tido Mhando ebu angalia? Makamba tuambie ni kipande ipi hapo ni matusi?
:crying:Wapendwa,
Kwa TZS 100,000 watu 100 JF tunaweza kuandaa mdahalo wa urais.
Muda wa kupiga domo umekwisha je? Tunataka na mwaka huu kusiwe na mdahalo kama 2010? Je unadhani kuna mtu mwingine wa kuanzisha hili swala zaidi ya JF? Mimi nadhani haiwezekani. Basi kama unaona hili jambo ni...
Changia CHADEMA kwa kutuma neno "CHADEMA" kwenda 15710 (Zain na Voda tu)
Hili si jipya jamani ila nimeona tukumbushane kidogo kuwa nguvu zetu zinahitajika hata kama ni kidogo kidogo kuweza.
Naona siku za karibuni malaria na mwenzie wako busy sana na vyama vyao vya kijamaa!
Makadirio ya...
Wana forum,
Nimeshindwa kuvumilia njisi nchi inavyokwenda. nadhani sasa ni muda muafaka wa kwenda kumwambia mkuu kuwa tumechoka na tunataka nchi yetu irudi kuw kama nchi na sio genge la mauza uza. haya ni maandamano ya amani kabisa ambayo myu hatatakiwa hata kuwa na wembe. Ni nguvu ya umma tu...
Speech given by British High Commissioner Philip Parham at the Queen's Birthday Party, Dar es Salaam, 7 June 2008
English
Kasia and I are honoured and delighted to welcome you all here to celebrate the official birthday of Her Majesty Queen Elizabeth II. If any of us are still as active as...
Nimesoma humu JF na kwenye magazeti mbalimbali habari ninazo ziona kuwa si njema kuhusiana na Mheshimwa Peter Serukamba. Inaonekana huyu mbuge ambaye kwa kweli ni kijana ameamua kuwa upande wa mafisadi na si upande wa wananchi katika muda huu ambao nchi nzima ina kilio nao (anajiamini sana!)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.