Wakulima na wafugaji
Nafanya jaribio la kutengeza mbolea asili au mboji. Kwa kutumia majani niliyojaza apo kwenye karo
Nitaweka
Mbolea ya ng'ommbe au mbolea ya mbuzi /kuku/bguruwe/popo n.k
Nitaweka
Majani mabichi ya miti kama milonge mrusina mikunde poli
Nitaweka
Udongo mwesi
Mwisho na fukia...
Nauza nyumba IPO IPO kivule m emben balabala ya kwa mkoremba ipo balabalan inafa kwa biashara Kama zahanati lodge n.k kwa maelezo Zaid 0772 151398
BEI milion55 maongezi yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.