Nainoga zaidi mchanganyiko kuanza week ya pili taratibu week4 wanakua tayari washakizoea na mwili ushakikubalia chakula kikubwa utaratibu wa urishaji na upatie virutubisho sio ujaze mipumba utauwa kuku kwenye mchanganyiko wako kitu cha kwanza pumba usiweke kabisa...
Kuchanga inawezekana na broile wanatoka safi week 4. Isipokua ufuate kanuni ya uchanganyaji na ulishaji icho chakula chako na ucheze na hesabu zako vizuri ayo mambo ukiweka sawa faida utapata
[emoji106] safi mkuu nashukuru. Apo niliagiza vijana wajaze manyasi kama miez 2 nyuma lakin nishaondoa chupa zote na nailon jaribio lakwanza nilifanya na kutumia ilikua poa sana
Wakulima na wafugaji
Nafanya jaribio la kutengeza mbolea asili au mboji. Kwa kutumia majani niliyojaza apo kwenye karo
Nitaweka
Mbolea ya ng'ommbe au mbolea ya mbuzi /kuku/bguruwe/popo n.k
Nitaweka
Majani mabichi ya miti kama milonge mrusina mikunde poli
Nitaweka
Udongo mwesi
Mwisho na fukia...
Kumbuka me dalali wa nafaka na matunda nalima mazao ambayo na jua soko lake na pia naweza kuyachakata mafano alizet naweza kamua mafuta na kuuza na mahindi pia naweza saga unga nauza kwa oda mashulen n.k sitegemei sana kuuza mazao ghafi mungu ajaalie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.