Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"
Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa
Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.
Alikuwa mtu fulani...
1. Wako tayari kuwaumiza wananchi wa chini kabisa kwa kuwaonea aibu wakoloni waliopewa jina zuri la wawekezaji. Rejeabu sababu wanazotoa za kuweka tozo kwenye miamala ya simu na ATM
Hakuna asiyefahamu kuwa makampuni yanayotoa huduma ya mawasiliano nchini yanapata faida kubwa sana isiyoendana na...
Bila Shaka na wewe ni mmoja wa hao makarani.
Inaonekana una hoja ya msingi unataka kuiwasilisha. Unatakiwa ukae chini utulie halafu upangilie hoja zako vizuri na utumie lugha fasaha ili ueleweke vizuri.
Kama wewe ni mmoja wa hao makarani wa Moshi vijijini, napata mashaka na ubora wa takwimu...
Zoezi la Sensa ni kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa Tanzania tunaongozwa na sheria ya takwimu Sura 351 inayoeleza kuwa kila mtu "anawajibika" kutoa taarifa sahihi katika zoezi hili na huyu atakayepewa /kusanya taarifa hizo "anawajibika" kutunza Siri za kila mtu.
Taarifa zote zitakusanywa...
Sikulifahamu hili, kumbe yule makamu mwenyekiti na wajumbe waliojitenga ni zao la uteuzi wa Kenyatta!
Hata ikiwa hivyo, Kama sheria za tume ziko kimya kwa aina ya watu hao bado sio sahihi maana wanaweza kuitia nchi kwenye machafuko muda wowote.
Nadhani tume ili kuwa huru zaidi na kuwa sehemu...
Watanzania tumekuwa tukililia sana kuwa na Tume huru ya Uchaguzi. Hivi majuzi Kenya wamefanya uchaguzi wao na karibu asilimia kubwa tumewapongeza kwa kufanya uchaguzi wa wazi kabisa na kushirikisha vyombo vya habari kwa kila hatua
Wengi wameipongeza Tume iliyosimamia uchaguzi huo. Hata hivyo...
Mfuko wa NHIF na watoa huduma wanatakiwa wakae na kukubaliana kwa pamoja namna gani wasaidiane kutoa huduma kwa wanachama.
Zamani ulikuwa ukienda hospital na Kadi ya NHIF unapata huduma kwa mbinde na kwa manyanyaso sana. Wakati huu sababu ilikuwa kwamba NHIF wanachelewesha malipo
Kwa Sasa...
Nianze na ushauri katika maandishi yako; wewe ni senior, msomi na nguli kabisa katika taaluma ya habari. Ni vema unapoandika uandike kwa lugha fasaha na kwa usahihi. Ukiamua kutumia Kiswahili tumia Kiswahili na ukiamua kutumia kingereza tumia kingereza. Kuchanganya lugha Kama ulivyofanya...
Labda Kama wewe ni Daktari unajaribu kutetea yanayofanyika ila katika hili uchunguzi wa kina unahitajika ili kutafuta suruhu ya kudumu.
Hospitali nyingi hasa hizi policlinic wanatabia hiyo ya kurundika madawa kwa mgonjwa ilimradi tu NHIF bill isome kubwa
Binafsi nakubaliana na NHIF katika hili...
Huyu hatakiwi kuondolewa barabarani na kurudushwa ofisini, anatakiwa arudishwe chuoni akafundishwe miiko (ethics) za kazi yake kwamba anapofanya hivyo anahatarisha usalama wa raia wema
Kati ya mambo yanayoendelea kwa Sasa ni kauli ya Ndugu Kinana ya kutaka trafiki wapunguzwe barabarani.
Binafsi simuungi mkono na IGP anatakiwa awe makini kushughulika na Jambo hili
Pengine watanzania tumezoea kutotatua matatizo kwa kuanza na chanzo au mzizi wa tatizo. Tunapenda sana...
Nikusaidie kusamarize uliyoandika ili Mwigulu akuelewe vizuri;
1. Kuacha ukaguzi wa kuvizia watumishi wa umma ili kuwakuta na makosa - mkaguzi awe muelekezaji
2. Kuachana na kanuni za kuwakandamiza watumishi kwasababu usitegemee aliyegandamizwa kutoa huduma bora. Sheria/kanuni kandamizi huleta...
Hata wazo lenyewe halikuwa sawa kabisa. Vile vibanda vimekuwa uchafu pale sokoni (NB: Uchafu ni kitu kinachokaa mahala pasipo sahihi)
Havijasaidia kwa lolote kabisa.
Kwanza vimehujumu mradi mkubwa wa soko kubwa la chief Kingalu.
Fremu nyingi ziko wazi kwasababu ya hivyo vibanda na wenye frem...
Pole sana kwa kumpoteza mtoto. Japo Imani za dini zinasema kifo ni mapenzi ya Mungu lakini ni uhakika kabisa kuwa vipo vifo vinavyotokea kabla ya wakati
Pamoja na hayo kila linalotokea hapa dunia linakuja kwa ajili ya kutufundisha na kuweka Mazingira bora zaidi ya wakati ujao
Kwa kifo cha...
Uko sahihi japo baadhi ya watu waliotekwa na u mambo leo hawatakuelewa
Mfano mwingine ni the late Mandela na Nyerere utaona kwanini mmoja anatukuzwa sana na Wazungu wakati mwingine wanamchukulia poa ukilinganisha na aliyoyafanya
Kamwe mzungu hawezi kusifia kiongozi wa Afrika anayeminya...
Nashukuru sana wadau wote mliochangia hapa. Nimepata Elimu niliyokuwa naitafuta kwa muda mrefu. Jamii forum ni jukwaa muhimu sana. Maxce mello uliyepata wazo la kuanzisha jamii forums barikiwa sana.
Soon naenda kuwa mwekezaji wa uttt baada ya biashara kadhaa nilizojaribu kwa kupata abcs humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.