Ndugu zangu, Nawasalimu.
Kwanza nianze moja kwa moja kwa kuorodhesha baadhi ya sifa za mtu asiye na hadhi ya kuwa kiongozi.
1. Hulazimisha Kukubalika na kila mtu.
2. Hana maono . Tatizo kubwa sana hili
3. Hujipendekeza kwa Wanadamu. Hana msimamo, hajui anasimamia nini. Msimamo wake...
Moja kwa moja kwenye mada;
Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?
Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha...
Moja kwa moja kwenye mada.
Haya ni baadhi ya mafanikio hayati JPM aliyapata akiwa kama Rais wa JMT kwa awamu moja.
1. Ujenzi wa Miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, vituo vya afya nk.
Ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl. Nyerere ulihitaji uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia vita...
Ndugu zangu, Itoshe kusema hii level ya incompetency inayojidhihirisha na TANESCO ni ya kiwango cha juu kabisa,
Hii nchi ina watu Karibu 60m, huko kuna wasomi wengi mno na watu wenye uchu ni nia ya dhati kabisa kuitumikia nchi yao na hawajapata nafasi
Kwanini uongozi wa TANESCO usikae pembeni...
Kenya imeweka vikwazo kwa wasafiri toka nchi kadhaa za afrika huku ikiruka Tanzania,
Ikumbukwe Tanzania haijawahi jihangaisha sana na Huu ugonjwa japo matokeo ya maambukizi na Vifo kati ya Tanzania na kenya Hayana Tofauti,
My take: Enyi wakenya wapumbavu, ni nani aliyewaloga ?
Endeleeni na...
So sad though. Police wa Kenya wanamaliza wakenya kuliko Corona yenyewe. Vijana wawili ndugu wa kuzaliwa
(Embu brothers) Emmanuel Mutura 19 na Benson Njiru 23 years waliofikwa na umauti wakiwa mikononi mwa polisi hatimae wamepumzishwa kwenye nyumba Yao ya Milele.
Vijana Hawa walifikwa na...
Ni wazi Tanzania ndiye Kinara wa Soka hapa Africa Mashariki, Kuanzia ngazi za vilabu, Viwanja hadi ligi yeyewe kwa ujumla,
Wachezaji mahiri wa ukanda huu ndoto zao ni kucheza Vilabu vya Tanzania hasa Simba, Azam, Yanga NK,
Kuna wakati Yanga aka Utopolo ilipitia wakati mgumu sana kiuchumi lakini...
Hii ni dharau kubwa sana kwa kiongozi wa nchi.
Yaani rais anafanya ziara taifa lingine anapokelewa na dayaspora? Serious? Serikali ya ubelgiji imeshindwa hata kutuma mkuu wa wilaya ampokee rais wa nchi? Hii haikubaliki
President Uhuru Kenyatta in Belgium for a two-day state visit...
Incompetency of the highest level. What kind of Engineering is taught in that particular country?
=======
Referral Hospital In Kenya Collapses
Kloppeben20h
Cases of incompetence have been reported not once or twice in Kenya pertaining the knowhow and experience of the engineers who are...
Pamoja na Vikosi vya Jeshi la ulinzi la kenya kuweweka Kambi nchini Somalia kwa takribani Muongo mmoja.
Juhudi zao zinaonekana kuwa ni Kazi bure badala yake ni upotevu wa Muda, pesa za walipakodi maskini wa Kenya pamoja na Vifo vingi sana vya Wakenya wasio na Hatia pamoja na mamia ya...
Baada ya kutoelewana kwa muda Mrefu kati ya Rais wa Kenya Uhuru Kenya na Makamu wake Wiliam Ruto hali iliyotokana na uhuru kuonesha wazi wazi kutomuunga mkono Ruto kujinyakulia urais 2022 na badala yake kuungana na RAO wa Upinzani kupitia Handshake, (Hand cheque) na BBI.
sasa Bwana Ruto ameona...
Wizi, uporaji, insecurity na uchafu uliokithiri mjini Nairobi vimetajwa kuwa chanzo cha kufanya Watalii toka Ulaya na Marekani kuiepuka Kenya, Tazama hii Video.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.