Naunga mkono hoja, ila napinga kurudishwa mistari ya parking iliyofutika pale Uhuru road, maana ilikuwa ni mtaji kwa wale jamaa wa wrong parking yaani ukikosea ukakanyaga kiduchu tu, gari yako inapigwa cheni na faini yake ni sh 50,000, yaani wale jamaa ni jipu na wezi waliokubuhu
Tafadhali sana serikali yangu ya awamu ya tano, kama muna mpango wa kununua ndege bac safari hii mununue mpya,
Tumezoea kuona awamu zilizopita wakisema ndege zile ni mpya lkn zikienda service hazirudi! Tumechoka na vitu used jamani, yaani kufuli used, boxer used, suruali used, T shirt used...
Naunga mkono hoja hii, japokuwa sasa ivi viongozi wetu wanatulazimishwa kuikataa mahakama hii kwa kisingizio kwamba wanawaonea viongozi wa africa, lkn ukiangalia upande wa pili ni kwamba viongozi wa kiafrica ndio wanaongoza kwa ukiukaji wa katiba zao na ukiukaji huo ndio unaleta fujo na...
Mleta mada ana maana ya mnyama kubwa wa aridhini na c wa majini,
Na rekodi hiyo kwa sasa inashikilowa na tembo kuwa ni mnyama mkubwa wa aridhini, duniani
Katika maisha yake huyu jamaa alifanikiwa kupata watoto wangapi? Wako wapi? Kama wapo kuna hata mmoja amejaribu kufuata harakati za baba yao?
Kuna utofauti gani kati ya Gaidi Carlos na magaidi wengine wa sasa ivi! maana naona historia inajionyesha kuwa Carlos aliungwa mkono na baadhi ya mataifa...
Hapa ndio pale ninapomkumbuka usemi wa mbunge wangu shupavu Godbless Lema
Anaposema [ haki ya mtu haiombwi bali hudaiwa,]
Na ndio maama watu hupelekena mahakamani c kwa ajili ya kuomba haki bali ni kudai haki
So pasco hapo ulipo dai haki yako uckubali kunyanyaswa haohao walinzi wakakuchulie...
Jamani mtoa mada ametoa taadhali kuwa ugonjwa wa Ukimwi bado upo so tusijishau sana, wote wanaume na wanawake tuwakumbushe watoto wetu wanaochipukia kwnye mapenzi wawe makini, Huu ugonjwa unatambulika zaidi kwa jina hili la Ukimwi kwa hiyo transilation za kitaalamu hazina nafasi kwenye hii topic...
Hili kundi la watu matapeli, wanojiita KAYENGA AUCTION MART, wanafanya minada ya vitu vibovu hapa Arusha na baadhi ya maeneo yanayozunguka Arusha.
Huwatangazia wanainchi kuwa kwa niaba ya bank fulani watafanya mnada wa vitu vilivyokamatwa na wadaiwa sugu wa bank hizo, lakini kiukweli vitu hivyo...
Aise wewe! Unasema umefarijika kusikia dereva bodaboda kafa!
Duh cjawai kukutana na mtu wa ajabu kama wewe, yaani we unamhukumu bodaboda kabla hujajua chanzo cha ajali ni nini!,
Ebu tengua kauli yako, coz huyo marehemu ni binadamu km wewe ana mke na watoto walikuwa wanamtegemea, ivi watajickiaje...
Huyu marehemu alikuwa na kipaji cha kujibalisha sauti, macho kuwa makengeza, na sura yote kwa ujumla,
Na ndio ilikuwa vipaji chake, kwa hiyo sura ya uigizaji iko tofauti kbsa na ile sura halisi.lkn jamaa alikuwa bonge la handsome kwenye pozi lake
Ndio maana mi nasema mwenye kuweza kuja mjini bac aje, coz mi cshangai kbs kuona milango ya kanisa na bar ikiangaliana kila moja ikitoa huduma kwa wateja wake,
Hapa A town kuna muhubiri mmoja ivi anajiita Abadia, maubiri yake hufanyia kwenye bar, huwakumbusha watu kuacha kunya pombe, kuacha...
Hayo ni mawazo ya kitoto tu ukikua utaacha, ebu tembea uone, maaskari c hao unaowana wewe tu, kuna vitengo tofauti vya maaskari kma vile wapelelezi wana minywele na madevu tu kama Osama vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.