Kwa bahat mbaya akat amenifumania tunapambana nilimsukuma ajapiga kisogo kwenye ubao wa kitanda akakata moto alipokuja kuzinduka adi leo hii hana mtandao hakumbuki chochote kile katika maisha yake
Mbona nyingi sana cpu ikisoma tu hata ndani ya dakika 2 kwa mtu sharp kwenye computer unarudisha maana ni kuandika tu unataka km ngap ukimaliza pale pale inabadili
Kurudisha km nyuma ni kitendo cha dakika kadhaa tuu maana wanatumia computer wana command cbox kusoma millage wanazotaka wao iyo michezo nimeifanya sana ndan ya dakika 10 hata ukitaka isome 00 chap tu
Mi nlibadili mfumo kutoka auto kwenda manual shift sasa saiv naona kama rpm inasimama sana yan kupata 100 spd lazma rpm iwe 3 kifup rpm inasimama af gari inakuwa kwenye mwendo mdogo shida yaweza kuwa nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.