Wewe jifanye zuzu lakini ukweli ni kwamba Mfumo wa Halmashauri hautoi na nafasi kwa Diwani binafsi kutekeleza ahadi zake bila kuwashirikisha wengine. Wewe endelea na upunguani wako na ubaki hivyo hivyo.
Wewe jifanye zuzu lakini ukweli ni kwamba Mfumo wa Halmashauri hautoi na nafasi kwa Diwani binafsi kutekeleza ahadi zake bila kuwashirikisha wengine. Wewe endelea na upunguani wako na ubaki hivyo hivyo.
Kwenye Ilani ya CCM yote hayo yapo ila wanatekeleza mwaka hadi mwaka. Wewe unajitoa akili kwa kudanganywa diwani mmoja anaweza kutimiza ahadi zake kupitia Mfumo wa uendeshaji wa Halmashauri. Pumbavu mkubwa!
Hizo sio kazi za Diwani mmoja mmoja. Masuala hayo hujadiliwa kwenye Kamati ya Huduma za Kiuchumi, Afya na Elimu na kuwekewa Maazimio. Uhamasishaji wa Vyoo ni kazi za Maafisa Afya na Watendaji wa Kata,Vijiji na Mitaa. Sioni diwani mmoja mmoja anavyoweza kufanya kazi hizo. Nimekuwepo Halmashauri...
Wewe ndiye lofa ambaye hufahamu kuwa Bajeti za Halmashauri zinatengenezwa kwa kuzingatia Ilani ya Chama Tawala na siyo ahadi binafsi ya Diwani wa Upinzani. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani hutolewa kwa vipindi Maaalum. Inaonekana una elimu ndogo sana ya uendeshaji wa Serikali. Jaribu kujielimisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.