*WARAKA WA UAMSHO KWA WAUMINI WOTE WA KANISA LA EAGT TANZANIA*
Nawasalimu wote katika jina la Bwana wa majeshi Yesu Kristo. Ambalo kwa jina hilo, kila goti litapigwa, na kila ulimi utakiri ya kwamba *YESU NI BWANA*.
Neema na iwe kwenu nyote, na amani tele zitokazo kwa Mungu Baba yetu wa...
Wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu, nina simu yangu aina ya Htc one M8 nilikuwa naitumia kama kawaida. Mara ghafla ikawa haisomi line ukiweka line inasema "No Simcard". Nikapeleka kwa fundi wakaiflash haikufaa, wakasema labda ni kile kichuma kinachoshilkilia line walibadilisha lakini simu...
Mwezi huu kuna burudani kubwa tena kwa wapenzi wa mchezo wa mbio za magari. Tar 20&21 Dar na Pwani kutakuwa na mashindano ya magari ...
Unprovisional Entry List
1. Ahmed Huwell na Misam Fazal Ford Fiesta pronto
2. Davis Mosha na Aron John Subaru Impreza
3. Sameer Nahled na Raheem...
Jamani kwa yeyote aliyepo Iringa atupe updates: mimi ntaleta picha na matukio kadri ntavyokuwa napata kutoka kwa watu walioko huko!!
Mashindano haya ni magumu kwa kuwa undistiputed champion Gerald Miller "Babu" ategemea kupata ushindani toka kwa Ahmed Huwell mwenye ford Fiesta pronto. ...
Kama kawa kama dawa mwana! Leo nawaletea live updates za mechi kati Stand Utd "chama la wana" na Mbeya City "Timu ya kizazi kipya" kutoka uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga
Tff kama wana ajenda ya siri na mpira wa miguu mkoa wa Arusha waweke wazi ila sio ukanjanja walioufanya... Katika ratiba ya ligi daraja la pili (SDL), TFF wamezipanga kwenye kundi moja timu za AFC, Madini, JKT Oljoro na PEPSI ya Karatu ... Lengo ni nini?? Au hamtaki timu zaidi ya moja ipande...
Hongera wazir wa michezo kwa kuirudisha timu ya Stand utd, chama la wana!! kwa viongozi na wamiliki halali wa timu. Baada ya udhamini wa Acacia iliibuka kamati ya uongozi illiyowekwa na mkuu wa mkoa, wakatubadilishia na jezi ma nembo.... Sasa timu imerudi nyumbani
Mwenyekiti wa timu Ya Stand Utd ametangaza kumshitaki msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire kwenye kamati Ya nidhamu na uongozi Ya Ligi ,kutokana na maneno Ya chuki, na udhalilishaji dhidi Ya Stand Utd.
Msemaji huyo mwenye maneno mengi amekuwa akiwaita stand kuwa ni wauwaji, wachawi! Pia akidai...
Timu ya Stand Utd ya mkoani Shinyanga iko katika hatari ya kushuka daraja ikiwa na point 28. Na hii ni baada ya kupoteza mechi zke Tatu za ugenini za hivi karibuni.
Stand Utd kama timu zingine zilizokuwa ligi kuu Zina changamoto nyingi kubwa ni kipato. Pamoja na udhamini wa BinSlum kupitia...
Leo katika uwanja wa CCM Kambarage kulikuwa na pambano LA Ligi kuu ya Vodacom, baina ya Stand Utd na Mtibwa Sugar. Mechi Hii ilisimamishwa katika dakika ya 34 baada ya mvua kubwa na kuzuia kuendelea kwa mechi. Ila hadi mpira unasimama Stand Utd Chama LA Wana!! Tulikuwa tunaongoza kwa goli...
Leo katika mechi YA Ligi Kuu Kati YA Stand United chama la wana! Na Kagera Sugar limeshindwa kumalizka kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika Uwanja wa CCM Kambarage hadi Mpira unasimama Stand UTD Ilikuwa inaongoza goli MOJA lililofungwa na Striker machachari Toka Nigeria Chidi Obare ...
Leo ndio Leo katika uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga baina ya Stand Utd na Toto Africa ya Mwanza. Hii ndio mechi ya mwisho ya Ligi huku Stand ikiwa inaongoza ligi kwa tofauti ya point moja dhidi ya Majirani zetu Mwadui.
Hii ndo tiketi yetu Ligi kuu
Yes! Yes! Yes! Yes! Yes!
Leo kwenye uwanja Wa Kambarage kulikuwa na mechi ya Daraja la kwanza kati ya Stand Utd ya Shinyanga inayoongoza kundi kwa point 13 dhidi ya Kanembo Jkt ya Kigoma yenye point 12. Vurugu zimetokeoa baada ya refa kutoa penalt dakika za mwisho baada ya mabeki wa Kanembo Jkt kunawa mpira. Baada ya...
Kwa habari toka kwenye Facebook account ya Azam FC na tweeter Yao ni Kuwa mshambuliaji wa Uganda Cranes Brian UMONY ametua Azam ingawa bado hawajaweka ni Mkataba wa muda gani na wa KIASI gani.... Je is this right move kwa Azam au yaleyale ya kuleta maproo mizigo?
Ndugu wanahabari habari za leo
Kwanza nawashukuru kwa kuitikia wito huu wa kukutana na kuzungumza nanyi kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea kuhusu chaguzi za CCM pamoja na malalamiko ya wanaccm na wananchi kwa ujumla mkiwemo hata nyie wanahabari wenzangu.
Naomba nianze moja kwa moja,sababu...
Kwa kweli ni kwa muda Sasa utendaji wa Bank ya NMB MANONGA imekuwa ni MMBOVU tumelalamika kwa branch manager lakini hamna lolote ambalo linafanyiwa kazi... Baadhi ya malalamiko ni Kama ifuatavyo
FOLENI.. Hili ni tatizo Sugu katika bank hii, kutokana na sababu wanazojua wao branch hii inahudumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.