Mwalimu mwenye degree ni mwalimu daraja C
Atakuwa daraja 1C,2C, 3C nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye diploma ni mwalimu daraja B
Atakuwa daraja 1B,2B, 3B nk kutegemea na muda wa utumishi wake
Mwalimu mwenye cheti (grade A)ni mwalimu daraja A
Atakuwa daraja 1A,2A, 3A nk...
Kosa la Nani sasa? Mfano mimi mama yangu (Marehemu) alizaliwa na kukulia Shinyanga mjini mtaa wa viwandani! Mama yake (Bibi) na baba yake (babu) washafariki hpo nyumbani hakunaga mtu tena nyumba iliyokuwepo imepangishwa ndugu wote wako sehemu tofauti tofauti. Upande wa baba baba yangu alizaliwa...
Mke wa Makonda Miriam ni Muhangaza Kazaliwa na kukulia Arusha! Mama yake ni mwalimu Masenge Amekuwa mwalimu mkuu wa shule za Sanawari na Kijenge na baba yake ni Dr. Masenge dentist maarufu tu hapa Arusha
Kwenye simulizi yako umeweka too general ngoja na mimi nielezee kwa ufahamu wangu kuhusu chuga gangsters:
Sadick Mkindi ni legend mtoto wa mzee Mkindi familia maarufu na tajiri Arusha huyo ni mdingi alifanya uhalifu in late 80’s na early 90’s
Majambazi walikuwa kina Chonjo maarufu kwa wizi wa...
Pia ana majibu mabovu mno! Unaweza peleka cheque za malipo ya seeikali akakwambia nenda dirisha lingine malipo ya serikali sihusiki nayo! Sa nyingine ana maswali yasiyomhusu anaweza akakataa cheque eti kisa tarehe ya cheque imetofautiana na payment voucher!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.