IRINGA WANAWEKA NDUGU/WAZAZI MISUKULE HATA MIAKA 40......TATIZO LIMEKUWA KUWASAIDIA WALEMAVU?????MBONA HUYO WAZIRI UMMY NAYE KATEULIWA TU LAKINI HANA SIFA?
KABLA SIJASAHAU HUYO JAMAA ANAYEMILIKI/ANAYEFANYA BIASHARA HAPO RAU PUB ALIWAHI KUKAMATWA NA GARI YA WIZI AMBAYO ILIKUWA NA NAMBA ZA IKULU YA KENYA.....NA POLISI WA SIRRO WAKAPIGA KESI IKAFUTWA.
MAENEO HAYO HAYO YA RAU BIASHARA YA GUEST BUBU NDIYO IMESHAMIRI MNO....RAU SHINE GUEST HOUSE NI...
John Magufuli hana "hekima" ...,ana kiburi,dharau,ni mnafiki,ndumila kuwili,mkabila,muongo na ana roho ya kishetani.
Hafai kuiongoza tena Tanzania kwa gharama yoyote!Watanzania "tusijaribu" tena kumpa "kichaa" Magufuli nchi inatosha!
Kumbe Wasukuma ni "mabumunda".....upumbavu gani huu?Yaani Makonda na Gwajima bado wanamkejeli mwenyezi mungu!
Binadamu huwezi chagui utubu dhambi ipi na uache ipi......Makonda atubu kwanza dhambi ya "MAUAJI" na Gwajima naye atubie UZINZI wake! VINGINEVYO WANAJISUMBUA TU
Hiyo report ipo sahihi ila CCM wanabisha tu kama kawaida yao.
-Ufisadi umekithiri
-Rushwa hasa viongozi wakuu wa nchi Rais Magufuli anawapendelea zaidi ndugu na marafiki zake
-Uhuru wa vyombo vya habari umebanwa
-Huduma za kijamii zinahujumiwa
-kiongozi mkuu wa nchi ni mbabe kwa wananchi...
Upumbavu mwingine haufai hata kujadili.TAZAMA PIPELINE(TANZANIA-ZAMBIA PIPELINE) ina Km 1,737.4 leo tunadanganywa na hawa "wagonjwa" eti km 1445 ni parefu kuliko km 1737.4
GWAJIMA ANASEMA AMEANDIKA VITABU VITANO KWA LUGHA YA "KIJAPANI" ALIMWANDIKIA NANI AU WASUKUMA WANAONGEA KIJAPANI?PUMBAVU SANA HII TAKATAKA HAIFAI HATA KUSIKILIZWA
GWAJIMA NI MZINZI KAWE HATUTAKI WAZINZI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.