Search results

  1. D

    Unatumia Till isiyo na majina yako,ondoa pesa kuepusha usumbufu

    Kuna ujumbe huu voda wanautuma kwenye Laini za mawakala "Ndg Wakala,unatumia Till isiyo na majina yako, tunakuomba uondoe pesa zote zilizomo kabla haijafungwa 25/1/2018 kuepuka usumbufu tafadhali zingatia. Asante" Kuna sisi tumenunua laini kwa vodashop laini ambazo zilikuwa na majina ya...
  2. D

    Happy new year to all!!

    Kwa msisitizo mkuu, nawatakieni maisha marefu kila mmoja pasipo kusahau; 1. Serikali ya JMT 2. Bunge la JMT 3. Mahakama ya JMT 4. Watanzania wote na wasio Tunakumbushwa kutenda wema na haki kila mnapopata dhamana, ya mwaka jana yamepita yawe funzo rejea kwa uboresho wa yaliyo mbele yetu. Uonevu...
  3. D

    Urgently: Till ya Airtel inahitajika Morogoro

    Mwenye Till ya Airtel na au Halotel mkoani morogoro tafadhali tuwasiliane kwa taarifa zaidi kupatana bei. Karibuni mwenye lolote
  4. D

    Ushauri kwa serikali na taasisi/mashirika washirika

    Huku mtaani kumekuwa na watafuta ajira wengi sana, katika matangazo yenu ya nafasi za kazi mara nyingi mnaweka muda mwingi wa watu kuomba nafasi ni sahihi. Hizo deadline mnazoweka mbona haziendani na wakati uliopo...kwann?? Utakuta tangazo limetolewa leo ndani yake unaambiwa uombe kazi ndani ya...
  5. D

    Cartridge 83A inauzwa wapi bei rahisi ndani ya Dar???

    Habari, jamani wapi nitapata cartridge hiyo ya namba 83A??, na bei yake ni ngapi?? Naona mmoja ana bei yake...sasa nahitaji kujua bei ya chini naweza pata kwa gharama ipi na sehemu gani...kwa jijini Dar??
  6. D

    Morogoro: printer needed urgently

    Hellow!, Printer ndogo inatafutwa iwe aidha; 1. Ina print tu 2. Ina print and can produce copies 3. Iwe kubwa kiasi, na ya bei nafuu. Iwe portable, sihitaji yale makubwa 4. Iwe INA spidi nzuri ya kutoa photocopy, isiwe ya kusubiria mda mrefu karatasi kutoka 5. Machine type; LaserJet, Etc.. Wenye...
  7. D

    Morogoro: chumba cha biashara & uwanja wa makazi vinatafutwa!!!!!

    Haya wenye habari za uhakika tusaidiane hapa, 1. Kinatafutwa chumba kidogo cha kupangisha kwa ajilk ya biashara maeneo: kwa chambo, maghorofani, nane nane, au pengine penye makutanio ya watu wa aina zote 2. Kinatafutwa kiwanja kwa ajili ya makazi, maeneo ya mkundi, lukobe, chingolwila, lukobe...
  8. D

    Vitu vinauzwa Karatu mjini, deadline two days kuanzia leo

    Kitanda tano kwa sita..cha mbao...140,000TZS Godoro inchi 8 comfy.....140,000TZS Meza ya jiko na kimeza cha TV vyote vimetengezwa kwa mbao....80,000TZS kwa vyote viwili Kama pia utahitaji vitu vingine kama vyombo vya kupikia, jiko la gas na mtungi wake (manjis), TV inchi 24 (ZEC), njoo...
  9. D

    Vision Fund Arusha, msaada wa kupata maelezo zaidi

    Habarini ndugu zangu!, nimekuja kuulizia kwa wenye kujua mahali inapopatikana ofisi kuu ya hawa VF kwa arusha. Mtandaoni nimeangalia lakini nataka na maelezo yenu ndugu, pia naomba kama kuna mtu anaweza kujua undani zaidi (yaani mishahara yao ikoje huko).....Msaada jamani mm nataka kuonana nao...
  10. D

    Msaada receiver ya MediaCom ina scrutch

    Habarini!, Dishi hapo awali lilipoteza channel zote za TV. Alipoitwa fundi; fundi akarekebisha na channel zikarejea kama kawaida, tatizo limekuja kwamba channel zote hazionekani yaani zina_scrutch tu na channel hazionekani. Fundi akadai tunner itakuwa imekufa hivyo inatakiwa kununuliwa nyingine...
  11. D

    Agronomist wanahitajika(7 posts)

    Habarini!, kuna mahali nimeambiwa nisaidie kupata agronomist ambao wanapatikana ktk maeneo ya Singida, Shinyanga ama Bunda Mara. Qualifications: certificate/diploma/"degree" in agronomy/agribusiness. Caution: mm binafsi nmejaribu ku bargain nao lakini nmeshndwa, hivyo kuleta nafasi kwa wale...
  12. D

    Mwanza: wapi ntapata studio nzuri za ku-record gospel tracks

    Ndg zangu habari!, nina mpango wa kuanza kufikisha ujumbe wangu kwa watu wengine kupitia njia ya uimbaji wa nyimbo za injili soon mwaka huu. naomba mwenye kujua studio nzuri ya kurekodi gospel tracks mkoani mwanza aweze kunielekeza na ikiwezekana anipatie mawasiliano kama utakuwa unayo...
Back
Top Bottom