Search results

  1. D

    MUSOMA, MARA: Ambulance ya Hospitali ya wilaya Tarime yakamatwa ikisafirisha shehena ya mirungi

    Innovation is life, Hataree... wafadhili waliotoa gari hilo...nadhani watahuzunika sana...wamewapa kenge gari yao. Mtu unamsaidia bado anajifanya mjanja loh!. Ningekuwa Rais, napiga stop gari zote za serikali kutembea usiku.. mwisho saa moja jioni, huo mda ukikukutia site unaacha gari hukohuko...
  2. D

    Hongera sana Kamanda wa Polisi Jiji la Dodoma (Kamanda Muroto) kwa kazi nzuri

    Ngoja wagogo na warangi waamke... wawape hekaheka ndpo mtuambie baadae. Saizi bado hawajaamka wapo bize wanatumia pesa za bure wanazoomba omba barabarani. Siku wakianza kunyimwa pesa waombapo na wakahamia upande wa kutaka pesa kwa nguvu toka kwa watu...hapo ndpo tutajua kiwango cha juu kwa...
  3. D

    Waziri Lugola : Jeshi la Polisi kamateni watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama na ' watu wasiojulikana'

    Ilitakiwa wamfanye nini Mwenyekiti wa ulinzi Mkoa??? Maana hata mm sikuelewa, ndio ilivuja.... nadhani hata huko upande wa pili wajaribu kuvujisha ili tuone km hawatafanya jambo
  4. D

    Tuache utani, Makonda anajua kula na kipofu

    Mwingine anakuja kwa spidi ya bombadia:D...mteuliwa mpya wa wizara, ana maneno mengi. Anajitahidi kucheza na mind set za vipofu:p:p:p:p
  5. D

    Waziri Lugola : Jeshi la Polisi kamateni watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama na ' watu wasiojulikana'

    Yeye anataka proven FACTS, inatakiwa mtu aliyempiga picha huyo mbunge wakati akizitoa hizo camera .... kielelezo kinatakiwa. Yaani picha ikimuonyesha akizitoa hizo cctv. Simu zetu zitumike kupiga picha kwa ukumbusho na ndio maana wanaweka camera hata simu ya bei ya elfu 25..... mpige picha hata...
  6. D

    Graduates wengi hawana kazi kwasababu hawajui kuandika Covering letter vizuri na huwa hawaombi kazi sahihi

    Haaaaa! 1. Kazi chache, wahitimu wengi Unakuta mtu umesomea level A (certificte), nafasi ya kazi inakutaka uwe na level B (Diploma)...sasa hapa mtu anaamua kutuma tu maombi akijifariji kwamba aidha wahusika wasipoomba may be wata m-consider yeye kwakuwa mbadala Mwingine anakuta kile...
  7. D

    Boma langu ambalo nililitangaza hapa, nimeliuza Mil 8

    Mm mara ya mwisho nikawa nina pesa ya km 7m, ikarudi home nilikozaliwa.... nikamuuguza bi mkubwa (sisi wazee wetu wanaugua karibia kila siku)...nikatumia km 1m. Nikaondoka zangu, nikaenda mkoa wa moro wilaya mojawapo nikanunua uwanja robo ekari nikajenga kijumba cha chumba kimoja sikuezeka...
  8. D

    Waziri Lugola : Jeshi la Polisi kamateni watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama na ' watu wasiojulikana'

    CCTV camera wasiwahi kuziondoa maeneo ya matukio......hahaah, atakaye enda kuzitoa tutampiga picha ya simu.......akipigwa hiyo ndio tutaanzia hapo ili alete cctv camera tumalize ushahidi...hahaha
  9. D

    Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

    Akumbuke pia, bila baba huyo mama asingepata mimba ya kumzaa yeye. Ajifunze kusamehe pia, palipo mama pana baba!, mbegu ilitoka kwa baba, yeye mama alikuwa mtunzaji wa mbegu na kuizalisha. Natarajia birthday ya baba yake atamalizia nusu iliyosalia kwa urithi.
  10. D

    Waziri Lugola amtimua Kamishna Jenerali wa Magereza, Juma Malewa kwenye kikao kwa kuchelewa

    Ukikubali kuheshimu mamlaka iliyowekwa nadhani hutopata shida...lakini ukijaribu kujitutumua kushindana wakati ukijua ww ni mdogo utaumia. Mkubwa akiingia msalani...wewe msubiri kwa nje, amalize haja yake atoke nawe uingie. Usije ukalazimisha kusukuma mlango uingie ufanye yako na yeye aendelee...
  11. D

    Waziri Lugola amtimua Kamishna Jenerali wa Magereza, Juma Malewa kwenye kikao kwa kuchelewa

    Time is money, kwa hiyo mkuu wa magereza amepishana na pesa. Tuheshimu muda, angetoa taarifa kabla ya kikao kuanza ili asaidiwe km atachelewa dakika moja. Mazoea mabaya sana, Lugola ataonekana mbaya lakini ukweli tunazembea sana kujali muda
  12. D

    CHADEMA Mbeya muangalieni kwa jicho la 3 RPC Ulrich Matei

    Morogoro waimba singeli walimzidi huyo, kuna vibaka wanasumbua sana wananchi yaani ameshindwa kabisa kulinda raia wake. Mjini hapohapo watu wanakatwa mapanga wanakabwa na kuporwa mali mda wa mapema kabisa..yaani kuanzia saa moja jioni. Huyo bwana bure kabisa...labda anaweza kufanya hayo mengine...
  13. D

    Kuna mademu wana bahati nzuri sana ya pesa nimekutana naye jana leo nimepata hela

    Mkuu, utakuwa unapata mademu tu...pesa utazisikia kwa bomba:D:D
  14. D

    IGP Simon Sirro afanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi kwa baadhi ya mikoa

    Watu wanatumia gari kwa shughuri binafsi, huo upande bado kuna shida sana. jeshi hilo ni la kihuni sana hata maafisa wake wa hovyo sana....wanahitaji kubadilika kisaikolojia, matendo na namna ya utendaji kazi wao. Rushwa zinawatesa sana hawa mbwa....rushwa ni roho kwao
  15. D

    Rais Magufuli awaalika viongozi wakuu wastaafu wote. Kufanya nao mazungumzo Julai 03, 2018 Ikulu Dsm

    Nilijua yatakuja haya. ila ukitaka maendeleo binafsi, jitahidi upambane usije tegemea walio juu wakukwamue. Wale wanafanya yao na wewe fanya yako, acha wazee wakumbushane huko faragha ya ikulu
  16. D

    Rais Magufuli awaalika viongozi wakuu wastaafu wote. Kufanya nao mazungumzo Julai 03, 2018 Ikulu Dsm

    Only matured will understand. We work for long run, ukitaka matokeo ya papo kwa hapo utapata tabu sana mkuu
  17. D

    Lugha gongana: Katibu Mkuu asema ruksa wabunge wa CCM kuikosoa Serikali

    ccm wanakuwa na nafasi ya kukosoana kwenye vikao vya ndani, lakini wakianza kujijengea ubinafsi kwa kujifanya wanakosoa mbele za camera ili waonekane wapo vizuri ....basi watapata tabu sana!!. Km wanamwogopa wakiwa naye mezani basi wakae kimya hata huko nje, hahahaha!!. wabunge wa ccm ni...
Back
Top Bottom