Nini maana ya RIP?
Wamemsaliti vipi wakati yeye ni mwanaccm, akaenda chadema kisha akarudi nyumbani kwa ccm, sasa kasalitiwa vipi! Na isitoshe age yake, acha wengine wapambane
Una uhakika gani ameuawa na Hamas? Naomba ushahidi!
Pili, kama nikweli ameuawa na hamas, basi hamas sio wajinga wauwe mtu asieshirikiana na mazayuni! So wapo sahihi kabisaa, hata wewe ukijipeleka kwenda kuwasaidia hao ndugu zako basi hamas yupo sahihi kukumaliza, tena bila huruma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.