Habari wanajukwaa.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuomba wazo la biashara ambayo ninaweza kufanya kwa DSM au kwingine, ila pia iweze kuajiri watu wanaonitegemea, kama 4 hivi kwa kuwa maswala ya ajira yamekuwa pia ngumu. Kama nilivyosema mtaji kwa sasa ninayo 10-15milion, lakini pia biashara kama...
Pengine wataalamu wa afya wanaweza kutusaidia kujua ni kipindi kipi hasa ni kizuri kwa mama kupata ujauzito na hatimae kujifungua kwa mazingira ya DSM. Ili kuwezesha pia ukuaji mzuri wa mtoto ukilinganisha na hali ya hewa na mambo mengine km hayo.
Habari wadau, sijui kama nimeliweka hili ktk jukwa sahihi.
Naomba kujua toka kwa wadau nini tofauti za cement zilizopo kwny masoko kwa mtumiaji ili kuweza kufanya uchaguzi sahihi kwa ujenzi
Jamani naombeni kupata msaada kati ya selcom na maxmalipo ni ipi bora kuichukua, kwa maana ya kuwa wakala?
kwa kuangalia kama kuna tofauti kwenye commissions na effectiveness na vitu vingine.
Ntashukuru kupata mwangaza wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.