Hela zote usiweke kwenye nyumba za kupangisha, km ni fremu ya kupangisha nafikiri ni bora zaidi
Ila pia usiwe na haraka, bora uuze then uweke hela UTT, wakati unafikiria biashara nzuri itakayolipa.
Kila la heri.
Hapa wataalam wangeweza kusema, bora ungeweka kwenye stock/shares mfano CRDB, kwa kuwa umoja na wenyewe wanaenda ku-invest kwenye shares! Ila mimi si mjuvi sana wa sector!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.