Nchi hii inahujumiwa na sera mbovu za kodi kwa makusudi! Lengo la kodi ni kufukarisha wananchi wa kipato cha chini. Ndiyo maana TRA wapo kwa lengo la kuwabana machinga, mamantilie, baa na vigrosary mitaani, watu wasio na mitaji au wenye mitaji midogo.
Hiyo ndiyo kazi ya TRA ambao wako wengi...
Nchi hii ni ya ajabu. Miaka na miaka mabweni, masoko, nyumba zinaungua roho na mali zinateketea; zimamoto wamelala! Hawajui kwamba magodoro, vyandarua, na masponji ni chanzo cha moto mkali na moshi wa sumu. Moto wa sponji unafyonza oxygen haraka sana. Mtu una-suffocate kwa kukosa oxygen na kufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.