Kichwa cha habari kinajieleza. ..nashauri kama kweli nnchi ina nia ya kuwa ya viwanda lazima "minds" za wananchi zielekezwe huko.
Vipindi vya redio ambazo nyingi ndio husikilizwa zaidi ziwe na Vipindi vyenye kuelimisha ...kilimo.ufugaji.uvuvi.biashara etc
Sio burudani tuu asubuhi mpaka jioni
Huwajui wabongo. ..kwa tabia zao wanaona shida kukaa kwenye apartment.
Utakuta anaishi na bata. ..kuko gorofani bata watapandaje.
Kibustani cha tembele anakiweka wapi.
Tuache unafiki hatuwezi kujivunia sekta isiyo rasmi inayojiendea shakala bagala.
Simply kwa sababu tunaogopa watu watakuwa wahalifu...lazima mianya ya kuishi mjini kiujanja ujanja iminywe ili watu walipe kodi.
Tukienda ulaya tunaishia kupiga picha miji ya watu. ..kuonyesha mandhari ...ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.