Relax punguza hasira mjibu swali usijipandishe kujiona unamzidi level ya elimu, kama una elimu basi elimu yako haina msaada wowote kwako maana hauna ustaraabu wowote unaoonesha una elimu
Mbona tunaletewa form za michango ya misikiti mingi tu huku uraiani na kila hatua ya ujenzi tunapewa taarifa sie makafiri kwa hiyo kumbe hua wanafanya makosa?
Ni kweli sijui lolote kuhusu jeshi nakaa kimyaa ww unasimuliwa unasimulia wengine uongo unaosimuliwa wanaojua wote hawajaandika kitu wanatusoma ss tusiojua waliotusimulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno yanapatikana kwenye kiapo'NITAMTII NA KUMTUMIKIA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANI' kwa hiyo kaa ukijua JWTZ linamtii na kumtumikia Rais na wateule wake wengine wote wakiwemo Mawaziri maRC na Madc
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.