Nataka kumuhamisha mwanangu kutoka Tengeru Boys kwenda Shule nyingine bora zaidi ya Tengeru Boys au yenye ubora sawa na Tengeru Boys....
Iwe Shule ya Boys....(Hata Mchanganyiko sio Mbaya sana kama inafaulisha)
Msisitizo: Iwe Shule ya Bweni(Boarding)
Dogo yupo form three.
Natanguliza shukrani.
Habari za weekend GTs?
Nimekaa hapa nikatafakari kwa kina mfumo wa kuwapata viongozi hapa nchini kwetu Tanzania....
Mathalan,angalia majukumu ya Mbunge,Ana majukumu mazito Sana pale bungeni....anatakiwa kufanya maamuzi ambayo yanakwenda kuwa maamuzi ya Taifa.
Kwa mfano,Mbunge anatunga...
Wadau Kuna hizi Models mbili zinazotumiwa na TRA kukokotoa gharana za kodi
IST-NCP 60/61/65 HATCHBACK
IST-NCP/ZSP 11 HATCHBACK
Pia naomba ushauri Ni model gani nzuri,preference yangu Ni NEW MODEL ya kuanzia 2008 kuendelea.
thanks
Habari,
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 30
Natafuta mwanadada kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi tu(sio ndoa,ni mapenzi tu)
Sifa:
Awe anaishi kati ya DAR,MORO,TANGA,MOSHI au ARUSHA
Awe na umri kuanzia miaka 30 hadi 21
Awe mrembo
Asiwe mwembamba wala asiwe tipwatipwa...awe size ya...
Wakuu heshima kwenu..
Nimepangwa kazi kwenye halmashauri tajwa hapo juu, sijawahi kabisa kufika maeneo hayo, naombeni wale wenyeji hasa wanaoifahamu Korogwe mjini wanipe changamoto zake.
Uzuri/ubaya wake, Hali ya kiuchumi/kimaisha hapo korogwe mjini, nature ya watu wa Korogwe, na vitu kama...
Habari zenu wana MMU
Naomba kwa anayefahamu wapi naweza kupata collection ya CD/DVD mp3,yenye zaidi ya nyimbo 200 za mapenzi(slow/RnB/Pop/Blues etc) na zisiwe za kibongo kabisaaa...
Nipo Dar,
vilevile naweza kuwa na list ya nyimbo zangu nahitaji kuziburn kwenye CD
kijiwe gani ambacho...
Awe na sifa zifuatazo;
1. Awe Mtanzania
2. Elimu at least form six na kuendelea(iwe rahisi kumuendeleza)
3. Umri miaka 23 hadi 28
4. Awe mcha Mungu
5. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene sana, awe wa wastani.
6. Rangi ya ngozi yeyote tu, lakini isiwe imeeditiwa.
Sifa Zangu;
1. Ni...
wandugu,naomba anayefahamu utaratibu wa kufungia ndoa kwa mkuu wa wilaya anifahamishe tafadhali,nahitaji sana cheti cha ndoa na haya mambo ya kanisani sijui harusi yanahitaji muda na pesa za kutosha! Ahsanteni.
Ni kawaida kukuta maisha wanayoishi Wanasiasa ni tofauti na wapiga kura wao lakini sio hivyo kwa Rais wa Uruguay ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya kipato chake kusaidia watu masikini. Umri wa Jose Mujica ni miaka 78 ambapo May 20 mwaka huu anatimiza miaka 79...
Naona mmewaongeza Buku 7 siku za hivi karibuni humu jamvini kwa kasi ya kimbunga,....
Tatizo lao hawajui kujibu hoja,ni kuandika utumbo/Matusi na personal attacks tu...!
Mkuu Nape Nnauye,kuna haja ya kuajiri vijana wenye atleast shahada moja ya PSPA,Sheria etc...waje wajadili hoja humu...
Wakuu
Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu
Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada!
ZUKU Satelite TV Complete kit yangu ina kila kitu kinachotakiwa na nzuri zaidi imelipiwa hadi tarehe 10/11/2013...
Eti mwanamke hamsahau kabisa mwanaume wake wa kwanza(aliyemtoa bikira)? na hata inapotokea wameachana na mwanaume huyo still anakuwepo moyoni mwake maishan mwake?
Na kwamba hata ikitokea siku moja jamaa akahitaji game(ambaye amemtoa bikira na wameachana either kwa shari au shwari) anapewa bila...
Ni kweli nilifanya nae mapenzi siku ya 6 tangu kuanza bleeding,leo ananiambia ujauzito wangu,nimemtoa nduki kwanza....nifanye utafiti kwanza kama inawezekana.....
Eti wadau,siku ya 6 inawezekana kweli?? kwa elimu yangu ya baiolojia kwa vidato sita,,,,,sioni uwezekano kwa kweli....nahisi nataka...
Unaweza ukafia palepale!!
Inaogopesha zaidi baada ya kuona zile movement za waathirika wanaochukua ARV's
Kwa wale waliopima naomba kushea nao experience hapa,mwenzenu nimepata hard time ambayo sijawahi kupata tangu nimezaliwa!!
Anyway...thanks God nipo fresh,ila cha moto nimekiona......na...
Wakuu....heshima!!
Ni kayika mazungumzo naye kwa simu asubuhi hii,nimejikuta kwa bahati mbaya nimemuita mpenz wangu jina la ex wangu ambaye naye analifahamu jina hilo,lakini hamfahamu mwenyewe....
amekata simu,na nikimpigia simu hapokei tena,wala text hajibu...lakini ukweli ni kwamba kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.