Tulimficha mama yetu khs kifo cha magufuli.sababu pia alikuwa amepata nafuu baada ya kuugua muda mfupi...lakini baada ya siku 2 mbele mama alienda zake pia.ikifika kipindi hiki nakuwa na majonzi sn.
Jangili sio mtu mzurii kbs..
Ukiona jinsi wanawatega wanyama utalia kwa mateso ya yule mnyama!!jangili akishikwa na kizibo dawa ni kutupa kwenye mto wa mamba tuu.
Kuwa na uhusiano na mwanachuo ni (suicide mission)..
Maana wao kila jambo wanachukulia poa tuu wala hawajali uhusiano wenu.
Na akiona umetangaza ndoa anaona we ni kenge una shobo tu.
Africa mwanamke akishajiona msomi jiandae kisaikolojia.
Maisha ukiyafanya siriaz sana yatakupeleka makosaa..
Mimi kila nnavyoona sitoboi ndio nikawa naona milango iko wazi.sikutumia nguvu nyingi sana life likaja vizuri tuu.
All in all naamini maisha ni bahati tu na kila mtu anaye ya kwake!haitakupita itakuja kama vile riziki mafungu saba.
Hapo...
Juzi nimempeleka ndugu yangu anaehisi amelogwa na mke wake...mi nimefika nikajifanya usingizi umenipitia nikawa naskia akiongea na huyo mganga wa kipemba.Hhahah yaani afu huyo mganga anavyojifia kila muda mara alikuja bahresa apa hawez kutembea nikamtibu,sijui mara alikuja fulani si unamfahamu...
Tabia za wamasai kule ndutu ngorongoro..
Kufkuza simba na kuwaibia vitoweo vyao..
Kawaulize wamasai wanajua kisasi cha simba kilivyo.
Simba ni mnyama anaeyependa kulipa sana kisasi chochote utachomfanyia atalipiza iwe kwako au kwa mali zako.
Wanaweza kuja kuvamia zizi lako wakaua mifugo hata 50...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.