Search results

  1. DASA

    UDSM - Huwezi kuamini kuhusu wafanyakazi

    UDSM pamoja na umaarufu wake na heshima yake nchini ukilinganisha na vyuo vingine lakini ndio chuo ambacho wafanyakazi wake wanaishi kwa shida kuliko chuo chochote nchini. Yani hali ilivyo kwa sasa ni mara 10 kufanya kazi vyuo vidogo kama CBE, IFM, NIT etc kuliko kufanya kazi UDSM. Ninachowasifu...
  2. DASA

    Utamshauri nini kijana huyu?

    Kijana yangu mmoja ambaye sasa ni mwalimu wa chuo fulani maarufu kaja akaniambia kaka haya maisha sio kabisa, labda amerogwa. Akasema alikuwa anachat whatsapp na marafiki zake aliomaliza nao degree miaka 8 iliyopita, mmoja wa hao marafiki alikuwa anawajulisha wenzake kuwa ameomba kazi mahali na...
  3. DASA

    CCM na walimu vyuoni mpaka primary

    Kama kuna group la watu ambalo litaiangamiza CCM mwaka huu, basi ni walimu. Huko vyuoni ndio balaa si walimu si wanafunzi yaani ukikuta watu wamekaa ukaanza kuongea CCM watu watatapika maneno utadhani sijui umewaambia nini, huko chini napo mpaka primary wengi wana vinyongo balaa. Sijui CCM...
  4. DASA

    IFM - Huu ni Uzembe

    Nilikuwa mahali, kwa bahati mbaya kuna wanafunzi wa IFM walikuwa wanaongea nikawa nawasikia. Inaonekana wapo kwenye mitihani kwa sasa. Lakini walikuwa wanaongea jinsi usimamizi wa mitihani ulivyokuwa wa kizembe hapo IFM. Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi...
  5. DASA

    Wapo Wapi Hao Panya Road!!!

  6. DASA

    Dah! Huyu Dent sijui alikuwa na kosa gani!!

    Mi nafikiri yupo sawa!!.
  7. DASA

    ERB: Annual engineers day

    Hii ni kwa ERB na wahandisi wote kwa ujumla. tarehe 4 na 5 September ni siku maalumu kwa ajili ya maengineer Tanzania, lakini mi binafsi naona hizi siku hazitumiki ipasavyo hasa kuelimishana kwenye mambo muhimu ya msingi ya kitaifa ambayo maengineer wanahusika kwa namna moja au nyingine na pale...
  8. DASA

    UDSM - sumu kwa wafanyakazi

    Sehemu kama UDSM ukiangalia kwa nje unaweza ukapaona pako pazuri sana, ukashawishika kupenda kufanya kazi pale, lakini maisha ya pale ni uozo mtupu!, wapo watu ambao kweli ni walimu wazuri lakini wanakatishwa tamaa na mambo mengi sana, hasa vijana TAs, ALs na Ls, labda na wachache ambao sasa ni...
  9. DASA

    Mishahara ya walimu wa vyuo

    Hivi inakuaje mishahara ya walimu wa vyuo Tanzania haina mfanano. Mishahara ya walimu kama UDSM ni midogo sana ukilinganisha na vyuo vingine hapa nchini hata vile vinavyofundisha ngazi za chini. Mfano ukiajiliwa leo kama Lecturer kwenye vyuo hivyo vingine mshahara wako utakuwa ni mkubwa sana...
  10. DASA

    Chemsha bongo - Dakika 10

    Mtoto aliyekuwa karibu na marehemu aliulizwa 'ni nani kwako aliyefariki ?' akajibu 'kaka mkubwa wa mjomba wake na marehemu ni mjomba wangu' swali 'je marehemu ni nani kwa mtoto?'.
  11. DASA

    Ombi langu kwenu majambazi

    Kwa vile serikali yetu ni dhaifu, na imeshindwa kuwakamata, basi tunaomba mnapotuvamia chukueni taratibu mnachotaka bila kupoteza uhai wa mtu, mkituua leo kesho mtaiba kwa nani!, wengi mliowaua wanategemewa sana na familia zao. mnapoua mtu mmoja kwa namna moja au nyingine mnakuwa mmewaathiri...
  12. DASA

    Kwanini Tumpongeze huyu Professor wa chuo!!!

    Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Hussein A. Mwinyi alimteua Prof. Samwel Victor Manyele wa UDSM, kuwa mkemia mkuu wa serikali kuanzia tarehe 21/1/2013. nafasi hiyo ilikuwa wazi baada ya aliyekuwa mkemia mkuu wa serikali marehemu Dr. Ernest Mashimba kufariki tarehe 19 septemba, 2010...
  13. DASA

    Tuheshimiane CHADEMA!!

    Mjadala unaoendelea wa kina Zitto na Ben ni wa kukoseana heshima ya chama. Ni mbinu za kutia nuksi kwenye chama hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu 2015. Hakuna chama kinachokosa wasaliti. Lakini mi naamini CDM ina taratibu zake na ikithibitika muhusika anachukuliwa hatua za kinidhamu na...
  14. DASA

    Mwanaume wa ukweli ni yupi!!

    Yule ambaye anaweza kushinda majaribu ya ngono au anaweza kuvumilia miezi 2/3 kupita bila kufanya tendo au Yule ambaye hawezi kushinda majaribu, akionyeshwa kidogo tu tayari, au hawezi kuvumilia mwezi kuisha. Yupi kati ya hawa ni mwanaume wa ukweli!!.
  15. DASA

    Wataalam wa Hesabu....

    Angalia hii soln halafu sema kwanini jibu si kweli......
  16. DASA

    FFU ni watanzania!!??

    Hivi kweli hawa jamaa ni waTZ kweli, mi sura zao wengi nikiziangaliaga na jinsi walivyo hawafananii kabisa.
  17. DASA

    Ukome!, unadhani baa-medi wote malaya!.

    Hayo ndio maneno aliyotoa kwa hasira baa-medi mmoja kwa jamaa ambaye alikuwa analazimisha penzi kwa huyo baa-medi. Baa-medi akaongeza kwamba 'mi nimeokoka, na si kwamba napenda kufanya kazi kwenye mazingira haya, na sio kwamba kuwa baa-medi ndio umalaya, tafadhali tuheshimiane, mi nipo kazini...
  18. DASA

    Ngapi mpaka ziishe zote!!

    Mwanaume unaweza piga bao ngapi wakati wa mapenzi mpaka ziishe zote.
  19. DASA

    Utajisikiaje, utachukua hatua gani!!

    Umetoka nyumbani na mkeo, bahati mbaya mkeo kasahau pete yake ya ndoa. Mnafika mahali mmekaa we simu ikaita ukatoka kidogo kwa sababu ya kelele uliporudi ukakuta kuna jamaa anamtongoza mkeo, halafu mkeo unamuona anajing'atang'ata vidole tu huku anakutizama. Halafu jamaa unamsikia anazidi...
  20. DASA

    Uhandsome bwana sio Tabia!!

    Kuna mdada alikuwa anamwambia mwenzake "Mi mwanaume awe handsome tu inanitosha na mambo fulani safi basi ili nizae watoto wazuri, Tabia wala sitajali sana sababu wanaume wote tabia zao zinafanana". akaendelea "Nikishapata watoto wazuri mi basi inatosha mambo mengine namwachia Mungu, maana wapo...
Back
Top Bottom