UDSM pamoja na umaarufu wake na heshima yake nchini ukilinganisha na vyuo vingine lakini ndio chuo ambacho wafanyakazi wake wanaishi kwa shida kuliko chuo chochote nchini. Yani hali ilivyo kwa sasa ni mara 10 kufanya kazi vyuo vidogo kama CBE, IFM, NIT etc kuliko kufanya kazi UDSM. Ninachowasifu...
Ni kweli, lakini unaonaje kama una mipango mizuri halafu na kipato kiko vizuri!!. Tatizo la huyu dogo degree ni hiyo hiyo lakini ameachwa mbali sana kimapato kwa mara 4. Anafikiri kufaulu sana kwake ndio kumemponza!!
Unajua siku zote akiwa na hao marafiki wanaongea habari za kazi lakini hawaongei vipato vyao, saa ndio amejua kuwa hapati kitu kabisa. Na hapa tambua wamesoma pamoja, degree hiyo hiyo, yeye ameongeza ya pili na yupo njiani kupata ya tatu. Shule ilivyo ngumu na anachotegemea anatamani kuacha.
Kijana yangu mmoja ambaye sasa ni mwalimu wa chuo fulani maarufu kaja akaniambia kaka haya maisha sio kabisa, labda amerogwa. Akasema alikuwa anachat whatsapp na marafiki zake aliomaliza nao degree miaka 8 iliyopita, mmoja wa hao marafiki alikuwa anawajulisha wenzake kuwa ameomba kazi mahali na...
Kama kuna group la watu ambalo litaiangamiza CCM mwaka huu, basi ni walimu. Huko vyuoni ndio balaa si walimu si wanafunzi yaani ukikuta watu wamekaa ukaanza kuongea CCM watu watatapika maneno utadhani sijui umewaambia nini, huko chini napo mpaka primary wengi wana vinyongo balaa. Sijui CCM...
Nilikuwa mahali, kwa bahati mbaya kuna wanafunzi wa IFM walikuwa wanaongea nikawa nawasikia. Inaonekana wapo kwenye mitihani kwa sasa. Lakini walikuwa wanaongea jinsi usimamizi wa mitihani ulivyokuwa wa kizembe hapo IFM.
Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi...
Nampa pole sana Raisi wetu kwa tatizo analokabiliwa nalo kwa sasa, Mungu ampe nguvu upesi. Lakini najiuliza na madaktari wetu watusaidie, hivi upasuaji wa tezi dume haufanyiki hapa nchini kwetu. Kama inawezekana kufanyika ni kwanini Raisi wetu ameenda marekani. Madaktari wetu hawaaminiki au...
Kila mtu ataonja mauti. Tangu nianze kuijua Dar kweli sijawahi kuona wahindi wapo makaburini. Swali langu ni kwamba hawa wenzetu wanazika wapi wapendwa wao, au wanachoma moto au hawafi!!.
Unajua wakati mwingine bila picha mtu huwezi kueleweka kabisa. Pamoja na barabara kuwa mbaya kuna watu wanakimbiza sana magari utadhani wanaendesha kwenye lami (hawa ndio hatari sana), hasa magari ya serikali STJ, STK..., yani hawa jamaa wanatunyanyasa sana sisi wenye vigari vidogo.
Naunga mkono hoja.
Hata leo nimepita masaveya wapo tena pale, na sehemu nilipowaona nilishawaona tena maeneo hayohayo siku za nyuma. Inawezekana wanajaribu utaalam wao lakini ni ukweli usiopingika kwamba barabara ni mbaya kupita kiasi, mimi binafsi nimeshaharibu gari mara tatu kwasababu ya hiyo...
Hii ni kwa ERB na wahandisi wote kwa ujumla. tarehe 4 na 5 September ni siku maalumu kwa ajili ya maengineer Tanzania, lakini mi binafsi naona hizi siku hazitumiki ipasavyo hasa kuelimishana kwenye mambo muhimu ya msingi ya kitaifa ambayo maengineer wanahusika kwa namna moja au nyingine na pale...
Kuna jamaa amenitonya kilichotokea sasa ndio balaa, mishahara ya mwezi wa saba wafanyakazi wa udsm ndio wamepata jana. halafu hakuna taarifa yoyote ya msingi au sababu yoyote ya msingi kwanini imechelewa. Walidanganywa kama vile kutakuwa na nyongeza za mishahara lakini bilabila. Yaani huwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.