Wakuu huwa nasafirisha Viazi hasa kutoka Wilaya ya Makete kuja Dar Es Salaam. Kuanzia tarehe 01/7/2021 gharama ya kusafirisha Viazi kutoka Makete kwa FUSO inayobeba Magunia 163 imepanda kutoka 2.3M mpaka 2.9M.
Kiwango kitawafanya Wafanya Biashara kununua kwa bei ya chini kutoka kwa Wakulima ili...
Majambazi yamevamia kituo cha kuuzia Mafuta (petrol Station) iliyojengwa maeneo ya Moshi Bar.
Kituo hicho cha kuuzia Mafuta kimejengwa hivi karibuni katika eneo ambalo kulikuwa na Bar ijulikanayo kama Recho katija eneo la Kipunguni B Wilaya ya Ilala Jimbo la Ukonga. Inasadikika kuwa Majambazi...
Baada ya ugonjwa wa Covid 19 kulipuka duniani kote sector ya Elimu iliathirika pia. Shule zilifungwa.
Serikali ya Tanzania imefungua Vyuo na kidato cha sita. Kama Wazazi tuna Watoto wanasome Mazinde juu. Wanatakiwa kurudi shuleni wiki hii.
Baadhi yetu Wazazi tulisha maliza kulipa ada. Ajabu...
Wakuu,
Mtoto wangu kamaliza form four mwaka jana katika shule moja ya binafsi mkoani Mbeya na matokeo yametoka mwaka huu. Kafaulu vizuri tu. Alichukua form kwa ajili ya kufanya entry examination katika shule ya binafsi. Lakini nilipo fuatilia shule aliyomaliza naambiwa results slip hazijatoka...
Wakuu Salama.
Hivi karibu nilinunua Gari aina ya Toyota Vanguard. Nimejaribu kuangalia sehemu ambayo spare tyre inakaa/inawekwa nimeshindwa kabisa. Nilipo wasiliana na SBT Japan/Tanzania waliniambia ikaa chini. Lakini nimejaribu kuangalia bila mafanikio. Tafadhali kama kuna mtu ana model kama...
Jamani kuna tatizo gani TANESCO???, tufahamisheni basi. Wakazi wa kipunguni siku ya tatu leo hatuna hata umeme tena bila taarifa yoyote. Inaudhi kupindukia.
Wahusika wote,
Kumekuwa na ajali za mara kwa mara zinazokatisha maisha ya watu katika makutano ya Reli ya TAZARA na Barabara iendayo Mombasa mpaka Moshi Bar. Mwaka huu peke yake, watu wapatao wannne wamepoteza maisha na wengine kupata vilema vya maisha.
Tatizo kubwa ni kuwa Kituo cha daladala...
Wakuu,
Kuna kijana mmoja ambaye mara nyingi anatembea na wenzake watatu hasa maeneo ya Kipunguni B, Moshi Bar, Mazizini, Majoe mwenye namba ya simu tajwa hapo juu na imesajiliwa kwa jina la Nyasi Kiberiti ni tapeli na mwizi wa kutumia mtandao wa simu hasa kwenye huduma ya M-Pesa.
Ingawa...
Wakuu,
Nikiwa mtumiaji wa barabara ya Nyerere road hasa kwenda maeneo ya Kitunda, kuna usumbufu sana hasa wakati wa jioni baada ya kuweka taa za kuongozea magari katika njia panda ya Airport- Julius Nyerere International Airport. Setting ya kuruhusu magari inatumia sekunde chache sana- hardly...
Nimekuwa kwa muda mrefu sasa mpenzi wa Jamiiforums na kujifunza mengi katika jukwaa hili. Hivyo nimeamua kujiunga rasmi ili niweza kujifunza na kushiriki katika mambo mbalimbali yanayojadiliwa humu. Nimategemeo yangu kuwa nitakaribishwa. Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.