Katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu wadada wawili wakiwa wanazungumza mmoja akiwa mjamzito akisema eti Sikh zake za kujifungua zimepita eta wiki moja yupo kwenye mawazo kwelikweli
Nani nikajiiuliza hivi Ni kweli hili linawekaza? Au kachanganya tarh ? Mwenye utaalamu na hili anisaidie
Wenye mamlaka na hili tunaomba mshughulikie kifurushi umenunua tena cha juu kabisa inapofika saa 2 taarifa hakuna eti tatizo la kiufundi lakini unaambiwa angalia kwenye simu
tunaomba msaada kwani ni kero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.