Search results

  1. Rubawa

    Rai ya Mzee Aboud Jumbe na Utakatifu wa Nyerere

    RAI YA MZEE ABOUD JUMBE NA UTAKATIFU WA NYERERE Ukiachilia mbali kitabu chake cha THE PARTNERSHIP, (Miaka 30 ya dhoruba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar) Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, aliyewahi kuwa Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya...
  2. Rubawa

    Eduardo Dos Santos: Rais Aliyeyafisidi Mapinduzi ya Angola

    Eduardo dos Santos: Rais Aliyeyafisidi Mapinduzi ya Angola Ni nini Afrika kama bara inaweza kufanya kuiepusha na viongozi wa aina ya kina Dos Santos? Jibu linaweza kuwa gumu kuliko swali. Mnamo Julai 8, 2022, Rais wa awamu ya pili wa taifa la Kusini mwa Afrika la Angola, José Eduardo dos...
  3. Rubawa

    Miaka 58 ya Muungano, nafasi ya Rais Samia kuzimaliza kero.

    Happy Muungano day naomba nitumie fursa hii kuwa kumbusha ndugu Ndugu Zangu Wanzanzibar kwa kipindi chote cha miaka 58 ya Muungano imekuwa ngumu kwao ukweli ulio wazi ni km wamekuwa mateka ndani ya Muungano ila Wakati ni Huu wa kuweka mambo Sawa wote tunajua Fursa iliyopatikana naweza kusema...
  4. Rubawa

    In an age of corporate sponsorship and super league greed, the Africa Cup of Nations brought us the beautiful game at its giddy, joyous, chaotic best

    In an age of corporate sponsorship and super league greed, the Africa Cup of Nations brought us the beautiful game at its giddy, joyous, chaotic best TAHAR RAJAB FEBRUARY 7, 2022 There’s a scene in Blood Diamond where a ‘Zimbabwean’ Leonardo DiCaprio tries to sum up the cradle of humanity...
  5. Rubawa

    Sheikh Karume angeshauvunja Muungano

    Sheikh Karume angeshauvunja Muungano Na Ahmed Rajab TUNAUHITIMISHA mfululizo huu wa makala matatu kuhusu Zanzibar baada ya kupinduliwa wa serikali huru ya Zanzibar Januari 12, 1964 kwa kuuangalia Muungano ulioundwa baina ya Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, mwaka huo. Licha ya kuwa hai kwa...
  6. Rubawa

    Siku Nyerere alipotishia kunichapa

    Na Ahmed Rajab, (Kutoka gazeti la RAIA MWEMA) KIZA kilikuwa kimekwishaanza kutanda nilipoikaribia hoteli ya St. Ermins jijini London. Hoteli hiyo ni ya nyota 4 lakini ina haiba ya aina yake na ipo mahala ndipo — karibu na Kasri ya Buckingham ya Malkia wa Uingereza, Kasri ya Westminster mulimo...
  7. Rubawa

    TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Msanii CPWAA ameaga dunia mapema alfajiri ya leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa msanii huyo ni kwamba marehemu aliukuwa anaugua ugonjwa wa Nimonia uliopelekea kifo chake. CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la Park Lane akiwa na...
  8. Rubawa

    Sabuni ya Roho Pesa

    Zamani nikiwa bado mtoto mdogo Mama yangu Mkubwa kila mtu alikuwa akimwita Sabuni ya Roho Pesa kwa Akili zangu za kitoto nilikuwa nikijua ndio jina lake ila Leo hii nimefikia utu uzima ndio nimepata kujua jina lake kamili na kuelewa nini maana ya Sabuni ya Roho Pesa. Mungu amuweke Mahali Pema...
  9. Rubawa

    Vituko kutoka kwa mkoloni mweusi

    Janga uchaguzi wa Rais Cote d'Ivoire jana Oktoba 31: Vituo havijafunguliwa wafuasi wa chama tawala RDR cha Rais Alassane Ouattara walishapiga kura. Kilio kilichosikika "ont déjà voté" (wameshapiga kura). Miaka 10 iliopita Ouattara akilalamika Rais Gbagbo anakataa uamuzi ya Umma.
  10. Rubawa

    TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

    Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
  11. Rubawa

    Hujaijua vizuri Afrika!

    HUJAIJUA VIZURI AFRIKA! TUPO Afrika, bara letu. Utajiri mkuu wa Waafrika ni ubinafsi. Ukimpa madaraka leo Mwafrika, keshokutwa asubuhi utamkuta ameshaifanya Serikali kuwa mali ya ukoo. Baraza la Mawaziri kama kikao cha familia. Ni Afrika ambayo nyakati za kudai uhuru wazee walipaza sauti...
  12. Rubawa

    Hata Dikteta Teodoro Obiang hafanyi vitimbi kama Tanzania

    Nimekuwa nikizifuatilia kwa ukaribu mkubwa chaguzi za nchi nyingi za Kiafrika tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejelewe Afrika. Mara mbili nilikuwa mmoja wa waangalizi rasmi katika chaguzi kuu za Equatorial Guinea kwa niaba ya taasisi iitwayo Taasisi ya Mikikati ya Kidemokrasia (au the...
  13. Rubawa

    Siku kama ya leo tarehe kama ya leo Miaka 39 iliyopita...

    BARAZANI Kupaa na kuanguka kwa Husni Mubarak (1928-2020) Na Ahmed Rajab JUMATANO, Oktoba 14, 1981 mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais mpya wa Misri, Husni Mubarak aliingia ndani ya ofisi ya msaidizi wake mmoja akaanza kurukaruka akipiga kelele: “Mimi rais, mimi rais”. Alikuwa kama mtoto...
  14. Rubawa

    TANZIA Mwanamuziki mkongwe, Said Mabera afariki dunia

    Gwiji wa muziki wa dansi na Kiongozi wa bendi ya Msondo Ngoma, Saidi Mabera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne Septemba 29, baada ya kuugua kwa zaidi ya miezi miwili. Mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni nyumbani kwake Goba. Msiba upo Nyumbani kwake Tegeta A maeneo ya Goba jijini Dar...
  15. Rubawa

    Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita ajiuzulu kupitia Televisheni ya Taifa, masaa kadhaa baada ya kuwa chini ya ulinzi wa jeshi

    Mh Rais wa Mali na kipenzi cha wananchi bwana Ibrahim Boubacar Keïta amelazimishwa kujiuzulu. Kwangu binafsi lipo somo la kujifunza kwa Hawa wenye kujiona ni vipenzi vya wananchi. ====== Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita ametangaza kujiuzulu kwake kupitia kituo cha televisheni cha...
  16. Rubawa

    Hukumu dhidi ya Kamehre ni kupambana kweli na rushwa au ni kummaliza kisiasa?

    Na Mohammed AbdulRahman Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo tangu enzi ya utawala wa Marechal Joseph Desire Mobutu ilipokuwa ikijulikana kama Zaire hadi ya Congo ya wajina wake Joseph Kabila Kabange, imekuwa na sifa ya rushwa. Sikuutaja utawala wa Mzee Laurent Desire Kabila kwasababu hakutawala...
  17. Rubawa

    TANZIA Babu Njenje Mabruk amefariki dunia alfajiri ya leo

    Babu Njenje Mabruk amefariki dunia alfajiri ya leo. MWANAMUZIKI mkongwe wa bendi ya Kilimanjaro maarufu kama Wana Njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama Babu Njenje amefariki...
  18. Rubawa

    Mapinduzi ya 1964 yaliua hata mapishi

    Na Ahmed Rajab TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi, hayakutimu hata mwezi, ulipoandama mwezi wa mfungo wa Ramadhani. Sizisahau siku hizo za mwanzomwanzo...
  19. Rubawa

    Tanzia: Malkia wa Taarabu nchini, Khadija Kopa afiwa na Baba yake Mzee Omary Kopa

    Malkia wa Taarabu nchini Bi Khadija Omary Kopa amefiwa na Baba yake Mzazi Mzee Omary Kopa Captain wa zamani na Mwana Mapinduzi Zanzibar.
  20. Rubawa

    Tanzia: Aliyewahi kuwa Jaji Mkuu Zanzibar, Mzee Ali Haji Pandu afariki Dunia

    INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAAJIU’N. Mzee Ali Haji Pandu ameshatangulia mbele ya haki muda mfupi uliopita Mwenyezi-Mungu Amsamehe makosa yake na Amlaze pema peponi, Amin! Mzee Ali Haji Pandu enzi za uhai wake amewahi kushika vyeo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama kisiwani...
Back
Top Bottom