furaha yako inatakiwa itokane na wewe na sio kwa mtu kwasababu watu siku zote huja na kuondoka na ndoa sio furaha tu, ndoa zina mitihani yake ambayo unaweza mpaka ukasema bola nisinge olewa, tulia tengeneza maisha yako maisha sio lazima mpaka uolewe na siku zote jua wewendio kiongozi wa maisha...
Shida watumishi wengi wa serikali hawajui haki zao, soma "sheria za ajira na mahusiano kazi" hata uki google unapata wasome wajue nani ni mamlaka yako ya nidhamu na kisheria taratibu za nidhamu zikoje, ukombozi unaanzia ndani bila hivyo ndio unakuta mtu anacomment eti kashikilia mpini!! hii ni...
vitu vya imani huwa ni ngumu kuvieleza, huenda sambamba na mira na desturi za mababuzetu tumerithi kutoka kwao kuwashwa mkono mimi hunitokea sana na ukiwasha tu kweli kazima nitapata pesa sasa ukisema inahusiano gani na kuwasha mkono inakuwa ngumu kuielezea ila ni imani ambazo tumezikuta...
Unatakiwa kuwa na barua ya kuachakazi au ya kumalizika na mkataba baada ya hapo utaenda ofisin kwao watakupatia fomu ambazo utajaza baada ya hapo utazipeleka kwa mwajiri wako atakusainia thn utazirudisha ppf. Ndani ya wiki mbili mpaka Tatu unapewa check yako. Pia unaweza kuendeleza michango yako...
Mjumbe unatafuta umaarufu hapa! Mm nimfanyakazi wa Hospitali Bugando sina takwimu zozote zibazosema kuna wagonjwa wameng'atwa na panya! Wagonjwa wote naututi wanalazwa ICU, wagonjwa wa Urology (wewe matatizo wa mikojo) huvaa nguo zao wanawekewa mipira tu sasa huyo panya wakuingia ndani ya nguo...
Sheria haichagui unafanya kwa muhindi,warabu n.k kama anataka kutetea khaki yake anaweza ala kama anamawazo ya uwoga na kutojua wapi anakwenda imekula kwake!! Dunia hii lazima uwe mpiganaji
Naomba nikuulize swali ulikuwa umeshasaini barua ya ajira? Kwasababu kunataratibu za kufukuza Kazi mfanyakazi aliekuwa kwenye kipindi cha matazamio. Hawezi kukufukuza kwenye simu human rights "haki ya kusikilizwa" lasivyo lazima wakulipe mshahara wa mwezi mmoja badala ya notice
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.