Acheni upuuzi,hicho kiwango tulichokopeshwa ni hela za kodi za wazazi wetu walizokuwa wanalipa na elimu yangu ni kwa manufaa ya taifa,badala ya kudhibiti matumizi mabaya ya viongozi wa serikali eg VX V8 mnang'ang'ania kutubana na Mil 5 tulizokopeshwa kipindi chote cha masomo.
Mimi nilitegemea...
Fanya uchunguzi usikurupuke,cancer haina specific cause ina risk factors. Una uhakika kama hakuwa nayo kabla ya kuwekewa hizo risasi? Na umejaribu kuulizia kama hizo risasi zina risk ya kusababisha cancer? Hayo maumivu yalikuwepo na ndiyo maana akaenda muhimbili,je unawezaje kuthibitishi kama...
Hakuna cha kukojolea msaafu,Bagamoyo na Zanzibar mbona walichoma siku nyingi? Au ilishawahi kukojolewa na huko? Wasithubutu kulianzisha mikoa ya bara watavuliwa Kanzu wote halafu waambiwe wafunge kamba za viatu
Ninyi watu wanafiki na waongo wakubwa,badala ya kujadili hoja ya msingi mnamjadili mtu utadhani swala la Afya halikugusi au kuwagusu ndugu zako kwa namna moja ama nyingine.
Hv watanzania tutaendelea kuwa waoga mpaka lini,Dr kigwangala aliongea kama daktari pale siyo kama mbunge na hakusema watu...
Watanzania tutaendelea kutumiwa na watu kujipatia umaarufu mpaka lini? Hivi hao wabunge wanaojiita ni wa dar es salaam mbona hawajatueleza msimamo wao au kuwa wakali kuhusu posho zao kupanda? Huu unafki wa kujifanya wanatutetea hatuutaki,waje tufanye mkutano wa hadhara tuwaulize mambo ya posho...
Wewe toa point zako acha kunukuu mawazo ya wengine.watanzania wenye vijiji huko mnataka waendelee kutembea kwa miguu kuja mjini?nani alikuambia wanyama watamalizwa au ecosytem itapotea hapo?kabla watalii hawajaanza kuja mazingira yalikuwa the same na sasa?mabadiliko lazima yatokee CHA MSINGI ni...
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha
Wewe umelogwa hupaswi kuwa hapa.mbona kwenye msiba wa ditopile hamkupiga risasi hewani wakati yeye ndio shujaa?
Mngejaribu kumjeruhi Rais wetu Dk.Slaa halafu muone balaa la wananchi.
Safi sana,Taarifa za kiinteligensia ilikuwa kisingizio tu wangekuwa wanazifanya matukio ya ujambazi yangepungua sana kama siyo kuisha.Hongera wana Arusha
Safi sana,hivi watanzania mnajua hii nchi inahitaji machafuko ili tuwatoe hawa CCM.I'm sorry to say this but seriously speaking kuna viongozi wa chama tawala wanaohitaji kufyekwa watoweke duniani.Tumechoshwa na upuuzi wao
Wanataka kuongea nini? Mwenzao Lowasa si aliwaambia mapema waitishe mazungumzo wakamuona msaliti haya sasa tunaomba makamba akazungumze na CUF kwa niaba yetu sisi hatutaki serikali ya umoja wa kitaifa kama janja yao ya kijinga.kiufupi hatudanganyiki tena
Hakuna cha mtoto wa mkulima wala nini,hasaidii chochote tangu ameingia nini alichofanya kikaonekana?kazi kulia lia tu na kujisafisha mbele za watu asionekane fisadi kwa kujiita mtoto wa mkulima.apinge hata mara moja kwa vitendo ufisadi kama anavyofanya Mh.Sitta.Kwangu Sitta ndio mtoto wa mkulima...
Hata mimi nimesikia polisi kauawa,wanasema kwamba polisi walimpiga risasi raia halafu kuondoa ushahidi wakashuka kwenye gari kuichukua maiti haraka,raia wenye hasira kali wakamuwahi askari na kumchoma kisu cha shingo.Tena kuna askari mwingine nimesikia tetesi kapigwa mawe mpaka kufa.so askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.