Almasi yupo juu, watu wengi wanamkubali, ila wachache wanmwonea wivu kwa mafanikio yake, dogo anajituma sana ndo maana kafanikiwa, piga kazi Almasi inayong'aa.
Serikali corrupt always haikusanyi kodi, inawakumbatia mafisadi na mwishowe wanakosa fedha na kuwategemea hao mafisadi kuifinance. Ndivyo ilivyo serikali ya sasa ya Jakaya Kikwete na CCM yake!!!!!?????
Sugu anajitahidi sana, ni mtu wa kujifunza, atafanya vizuri kadri siku zinavyokwenda. Ruge na Clouds wataanguka. Kwenye biashara tunasema wameshafika kwenye kileleni na sasa wanaanza kushuka /kuporomoka, wataporomoka mpaka chini, just wait and see?
Nasikia wameboronga kwenye Fiesta kuruhusu...
Yah, kama wengi walivyosema mwanzoni ni mshkaji sana wa JK tangu maji, nishati na madini, asa inabidi bwana mkubwa ambwage na afikishwe mahakamni. Jizi kubwa hili.
Shingo kaeleza uzuri sana on the above subject. Hii inaonesha jinsi serikali hii ya CCM ilivyosheheni walafi na wasiokuwa wazalendo, wanataka kuua kila kitu kwa kujinufaisha wao. Ndo maana hata serikali ya Malkia haiwaamini tena, maan wanaijua. Chenji waloiba kupitia Rada Waingereza hawataki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.