Habari za majukum wadau,
Kuna mtoto wa mwaka mmoja sasa anasumbuliwa sana na kifua yaani anakohoa sana ikifika kuanzia midnight ila mchana kutwa husikii akikohoa. Hii ni baada ya kulala kwa muda then anzakukohoa kwa takribani nusu saa mpka lisaa akiwa usingizi mda mwingine mpka inabid aamshwe...
Habari za muda huu wajenzi wa taifa hili,
Leo asubuh nimeamua kuanza mazoezi ila baada ya kukimbia umbali mrefu kidogo nikaanza sikia maumivu makali ya moyo, je hili linaweza kuwa ni tatizo kwa afya?
Habari wanajamvi, natafuta vinyozi wawili wenye kujua kunyoa style zote kwenye barbershop ya kisasa. Salon ipo Temeke Chang'ombe.
Tuwasiliane kupitia 0659782778
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda wadau,nafikiria kununua Nissan x trail kutoka kwa jamaa yangu ambayo alichukua hapa hapa Tanzania kwenye show room Nissan Enzi ndo zina ingia.
Nataka kujua zinakua na matatizo gani haswa hizi gari, na pia ni hatua gani natakiwa kufuata ninaponunua gari kwa mtu binafsi.
Shukran
Habari wana jamvi,
Nimetoka kumaliza msiba wa mwanangu wa kwanza aliefariki siku chache baada ya kuzaliwa.
In short ishu ilikua hivi last Monday Feb 19th wife alienda kupiga ultra sound private hospital na akagundulika kuna meconium(maji machafu) kwenye mfuko wa mtoto, nikamshirikisha doctor...
Hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje - JamiiForums
Habari za mihangaiko wadau, leo nimeamua kuleta mrejesho wa kile nilikua nimeuliza wapi pazuri kwa mama mjamzito kujifungua.
As I said nilikua nafanya klinik Muhimbili hospital na nikaamua kumalizia ng'we...
Natumaini wote mu wazima mpaka kufika hapa.
Naomba kushauriwa hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje kwa njia ya kawaida au mkasi?
Nilikua muhimbil earlier kwa service zake nimeona nibadilishe gear angani hata kwa hiyo wanayoita fast track bado ni mtihani...
Habari za mda huu wadau. Karibu ujipatie original perfume ya chaguo lako. Bei zake ni nzur kabisa call/whatsapp:0659782778, whatsapp only +44 7771896993
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mda huu wadau!
Haya yule wifi/shemej yenu anakaribia kunifungua Mungu ashukuriwe. Napenda kuuliza je ni hospital gani nzuri ya private kwa kujifungulia kwa hapa Dar es Salaam na gharama zake? Klinik yake ilikua muhimbili ila tunapenda kwa kujifungulia tuhamie private.
Ahsanteni...
Habari za mda wadau
Kwa kusikiliza hotuba za muheshimiwa mkuu wa nchi, kwa wale wakazi wa dar es Salaam wajiandae kisaikolojia kwamba mkoa utakuja kuwa wa gharama zaidi kuliko ilivyo hivi sasa. Chukulia madhalani miji mikubwa ya kibiashara kama Los Angeles, Dubai, New York maisha ya miji hiyo ni...
Wadau nina katabia ka kupenda kina dada wenye makalio makubwa na laini, kila nikijaribu kuacha haipiti mwezi nafeli, na mazingira ya kazi haşa nadeal na jinsia Ke kwa sana. Nifanye nini kuachana na haya matamanio
Habari wakuu,
Nimefuta service files pc yangu, na sasa napata ujumbe wa erro (0x80042302). Je nifanyeje ili kurudisha katika hali ya kawaida,ni install windows upya ama ni formart tu. msaada please wajuzi
Niende moja kwa moja kwenye mada, Jamani hii tabia ya sisi wanaume au hata wanaweke walio olewa kuwa na mazoea na jinsia tofauti na mwishowe kupelekea kugegedana sio dili kabisa.
Hii imetokea kwangu kabisa over the weekend zimefumwa sms za kunyegeshana na mtoto bado hajaliwa ila wife kaja...
Tuzo za Nobel Peace Mwaka huu zimeenda kwa bw. Denis Mukwege na bi. Nadia Murad. Wamepewa tuzo hizo kwa jitihada zao za kutetea na kupiga unyanyasaji wa kimapenzi kama njia ya silaha na ukatili wa nguvu
Habar za mda huu,
Nimenunua plot maeneo fulani hapa dar ila napata tabu jinsi ya kubadilisha jina ya mmiliki wa eneo, Ni hatua gani natakiwa nizifate ili niweze kubadilisha jina. Nina mikataba yote ya mauziano
Habar za mda huu,
Nimenunua plot maeneo fulani hapa dar ila napata tabu jinsi ya kubadilisha jina ya mmiliki wa eneo, Ni hatua gani natakiwa nizifate ili niweze kubadilisha jina. Nina mikataba yote ya mauziano
Hello ladies and gents
Natafuta mpishi wa bites kama sambusa,vitumbua,andazi na chapati na vinginenvyo. Kazi ipo dar es salam,kama kuna mtu yupo tayari ama kunna mtu unamfaham tuwasiliane. +255736 782778 au whatsapp +44 7771896993
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.