Search results

  1. K

    Marekani yasema hawajabadili maamuzi yao suala la uchaguzi Zanzibar

    Hapa Zanzibar Shein hakuchaguliwa na wananchi ila amewekwa kulinda utashi wa kisiasa wa Tanganyika. Wananchi wamemchagua Seif Sharif kwa sababu ya sera zake naimani yake kwa wananchi na Zanzibar. Msiwatukane wazungu , wala sisi hatupendi fujo ila ikiwa tutataka kulianzisha basi hapo bongo kila...
  2. K

    Prof. Shivji anena mazito sakata la mchanga wa madini

    Waambieni hizo mahkama zao zimalizie huko huko London. Fukuza wao kwani mbona mnapenda saana kujikwekweneza kwa wazungu ? hao hawana kheri ila upendo wao ni kukunyonya tu baadae waje wakuletee visenti kidogo vya kufanyia uchaguzi.
  3. K

    Jeshi la polisi wamlilia Ernest Mangu

    Si huyu kuna wakati alidhamiria kumsweka Maalim Seif ndani mara tu akitua kutoka majuu, na huyu sharif wa Zanzibar akamwambia nitatua huko Bongo na husubutu kunishika ,Mangu akaufyata. Si alitaka kutumika kisiasa.
  4. K

    ACACIA ni wezi, tukiungana hawana uwezo

    Miafrika inatawaliwa kwa kuwaogopa na kuwaheshimu sana wazungu, hii midude ni mijizi , funga baadhi ya migodi ,irudishe kwa wananchi. Che Nkapa aliwaona kama malaika akawapa migodi yote iliyonona na yeye akapewa zawadi ya pande la dhahabu lenye uzito wa mfuko wa cement kama zawadi. Mrema uko...
  5. K

    Mheshimiwa rais, umechuma janga. Gwajima sio DUDE ila George H.W. Bush ni DUDE

    Mkuu ati wanakutishia nyau, Bush si mwizi tu , kawaibia Wairaqi dhahabu na mafuta yao na kubaka watoto wao. Wakileta gozi gozi mkaribishe Rais wa Iran aje atembelee Tanzania , pamoja na mbabe wao Kim wa S.Korea . Akina Bush na genge lake wataona jamaa hawa wamekuja kupewa Uranium, wala...
  6. K

    Tetesi: Mkapa Anahusika na Sakata la Mchanga

    Tumbua Shein hatukumchagua sio kumtimua Mulongo tu
  7. K

    Nipo tayari kukosolewa: Rais Magufuli kama kawaida ameongozwa tena kwa chuki, hasira na pupa!

    Kamata yeye Nkapa na Kikwete hawa wanajuwa yote wanakunyari tu
  8. K

    Eti mimi sio mwanasiasa!

    Zuiya kila kitu na upinzani utasonga mbele kwa njaa na dhiki iliopo
  9. K

    Mandela alipewa sifa aliyostahili Nyerere! So sad!

    Niliwahi kusoma short course chuo alichosomea Mandela cha Grahamtown. Wazungu wapale walikuwa wanamsifia Mandela kwa jambo moja kubwa tena kiunafiki nafiki hasa pale wanapokuwa na waafrika weusi, kwamba ni shujaa wa kuleta umoja kwa mantiki ya kwamba amewaridhia wazungu na kuwafanya na kuwaona...
  10. K

    Kwanini upinzani wetu haukui kama wa nchi nyingine?

    Labda tupigane kwanza kama vile ccm wanavyotaka.
  11. K

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    usiwe mshamba jinchi lote hili kutokuwa na ndege ni aibu, wasioweza kupanda ndege si wanayo miguu waliopewa na Muumba wao.
  12. K

    Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

    Kwani kuna tabu gani ukiteremka boti tu siku ya mwezi mosi Ramadhani kunywa soda hadharani na nakuhakikishia utasalia gereza la Hanyegwa mchana huko kwendea Chwaka mpaka mwezi mosi Ramadhani ya mwakani itakutosha kukata kilimilimi chako. Mwezi wa Ramadhani unaheshimiwa na nchi zote na kufunga...
  13. K

    Achilia mbali ruzuku na michango, CCM ina vyanzo gani vya mapato?

    Labda usishangae wanapata gawio la nyeti kutoka serikalini wao ndio chama wao ndio serikali. Kwani cabineti ya wizara ya fedha ina wapinzani, kule bandarini kwani kuna ukawa.
  14. K

    Habari Njema Zenji: Juhudi za Mhe. Balozi Amina S. Ali zazaa matunda, TradeMark yamwaga madola!

    Nadhani useme tu kwamba Zanzibar kumefanywa lipi lakini usitaje kabisa kama hakuna mgogoro. Upo mgogoro baina ya genge linalotawala kwa kunyakuwa madaraka ambayo hawakuchaguliwa na wananchi. Nikurudishe nyuma utawala haramu umekuwepo Zanzibar tokea 1600 wakati wa wareno , 1832 mpaka 1856 wakati...
  15. K

    Chemistry ya Sakaya na Lipumba chanzo chake hiki hapa

    Mbona Seif ni shupavu toka enzi za ukoloni, hakimuogopa mtu la ukweli akilisema na msimamizi wa haki. Hata alipokuwa Chuoni UDSM, na alipokuwa waziri wa elimu watu wengi walipata nafasi za kusoma nchi za nje, alipokuwa waziri kiongozi mwaka 1984 ndie muanzishaji wa sera hii ya biashara huru...
  16. K

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Apendwe kwa kipi ! kwa kuhujumu democrasia Zanzibar?
  17. K

    Tofauti ya kimaendeleo kati ya majimbo/majiji/Halmashauri zilizoshikwa na CCM Vs Upinzani

    Kama mbunge anaweza kuleta maendeleo basi wabunge wanaotoka Pemba na wwawakilishi wao wangeweza kuibadilisha Pemba kwanza. Hata wao wawe na mbinu nzuri lakini kama serikali haitaki kubadilika katu maendeleo hayaji. Kule Pemba serikali ya ccm inaweza kukataa kutekeleza jambo muhimu sana kwa...
  18. K

    Barua ya Patrice Lumumba kwa mkewe

    Si wamesomeshwa na hao hao wakoloni, hawana uzalendo wa kuendeleza bali ni kupiga pesa tu. Kwani na wengine hata hizo nafasi za kwenda kusoma si walienda kiupendeleo tu ili waje kuwa watii kwa waliowapeleka.
  19. K

    Urafiki Wa Gwajima, Seif Na Lowassa. Ulianza Lini? Je Ni Wa Dhati? Una Maslahi Yoyote Kwa Taifa?

    Sema hivi , Askofu Gwajima akutana na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi mh, Seif Sharif Hamad. Sisi wananchi ndivyo tujuavyo. Hao wengine ni vibaraka vya mkoloni tu.
  20. K

    Unyanyasaji wa kisaikolojia dhidi ya wananchi wa Nyasa

    Ushauri wangu , Uchaguzi wa 2020 pigieni kura upinzani na kampeni zeni zitangazeni hadharani kwamba ifikapo 2020 kura kwa wapinzani, mkifanya hivyo maccm yatakuja mbio mbio kuanza kuwatengezeeni bara bara zenu. Pia mkiona wanalemaa anzeni kusema kwamba nyinyi mtajiunga na asili yenu ya Malawi...
Back
Top Bottom