Mi naona hata mama yake Lulu nae wa kuwekwa ndani,kwani yeye akiwa mlezi wa lulu alikuwa haoni anayofanya mwanae akamkanya? na je huyo mtoto anayedai ni wa miaka 17 alikuwa anafanya nini usiku mnene kwenye chumba cha mwanaume? unajua ngoma ikilia sana hupasuka,sasa hii ya lulu ndio imefika...
Yaani ndugu yangu ukiongelea Tanesco unaongelea serikali,hii ni kampuni yetu watanzania wote,inauwawa kama kampuni na viwanda vingine vilivyouliwa. Wanasubiri kuibinafsisha ili watanzania tukawe vibarua kwenye mali zetu wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.