Nawasalimu !
Mwaka 2013 nilimpoteza kaka yangu kwa ajali ya pikpiki. Yeye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mimi kipindi hicho nilikuwa chuo mwaka wa Kwanza.
Baada ya mazishi na msiba kuisha, kikao kilikaa kwa ajili ya mirathi na mimi ndiye niliteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi, lakini...
Habari za majukumu wanajukwaa!
Kwa mara ya kwanza natua kwenye jukwaa hili jukwaa,nikiwa na shida ya ushauri kutoka kwenu!
Niende moja kwa moja kwenye suala lenyewe.
Kuna jamaa mmoja tulifahamiana 2019. Mimi nikiwa na genge,yeye akiwa anachota maji ziwani kisha anayauza mtaani kwa mia mbili...
Hakuna kilichoharibika wakae wanyakyusa ama wasafya yote ni sawa,hakuna aliyewafukuza wasafya ni wao wenyewe na ubinafsi wao .by the Way "survival for the fittest"
Tamthiliya ya saluni ya mama kimbo Haina mchango chanya kwenye jamii ya kitanzania, Africa na dunia kwa ujumla.Ni ujinga tu.zipo njia nyingi za kufundisha jamii hasara za umbea lakini sio kwa njia hii ambayo kama imetumika kama kusapoti umbea hivi.wahusika hawaeleweki leo huyu kaka kesho ni mume...
Habari za majukumu!
Jamani naomba kujua ni sehemu gani( mkoa au wilaya) ambayo ni nzuri kwa kilimo chochote iwe mahindi,mpunga,karanga,alizeti nk.
Nataka nijikite rasmi kwenye kilimo ila kabla sijachakua sehemu ya kwenda nimeona niulizie wadau! Penye wengi hariharibiki neno!
Karibu kwa...
Habari za majukumu!
Nakusalimu popote pale ulipo unaposoma waraka huu.
Jamani Mimi ni mjasiliamali mdogo kwa sasa! Na hapa Nina bata wakubwa 33 majike na madume.
Naomba kujua wapi naweza nikapata SOKO lao! Na hata kama ni wewe uko interested waweza kuwasiliana nami kwa Namba ya simu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.