Huyo afisa alitumwa kutoa taarifa,Kuna kambale wako ofisini ambao ni Johari na Filikunjombe,tangia Johari asifiwe na Magufuri kuwahujumu fastjet Basi no mwendelezo uleule wa hujuma.
Thubutu mkuu,hii ni janja ya CCM kupunguza wananchi kwenda Zakheem,hawarushi hao ni propaganda tu na Jambo msilojua wanataka akianza lisu kumpiga mawe Meko wakatishe matangazo.
Wadau nimekuwa nikifuatilia kitambulisho changu cha uraia tangu mwaka jana, Kila siku umekuwa danadana.
Kilichonifanya nilete Uzi huu no uzembe wa mamlaka pale unapokatika umeme kushindwa kutimiza majukumu yao kwa kisingizio cha kukatika umeme wakati wanayo standby generator. Nilipouliza...
Siyo kweli walimu wengi hapo NIT wametoka hapo hapo NIT,Enewe hujui huyo Dereva muda mwingine anatakiwa kupeleka mzigo Zimbabwe atabonga kiswahili huko?
Kuna miaka ya nyuma 2008 baadhi tuliondoka kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine kwa sababu kulikuwa hamna ndege hata moja,
Tulitaka kurudi tukiwa na rating za ndege mbalimbali,wakatuletea fitna wakiogopa kuporwa nyazifa zao huku visingizio kibao,kwa Sasa Kuna mpasuko wa ATCL...
Nimewapigia kuwatarifu kuwa kuna tapeli anataka kunitapeli kwa kukopi na kupaste ujumbe wenu wa Halo Win akitumia simu 0627205377
Mkaniambia niwatumie no iliyotuma ujumbe nawapigia hamtaki kupokea kwa hasira sasa nawatumia kupitia jamiiforum namba iliyotuma ujumbe hii hapa 0734269327 na Mimi...
Huwa najiuliza iweje Vyombo vyetu vya Habari vina uwezo wa kuripoti maambukizi na vifo vya COVID-19 nchi jirani kama Kenya, Rwanda, Uganda na nchi zingine za mabeberu lakini hawawezi hata kidogo kwenda kufanya uchunguzi kwenye mahospitali yetu
Je, Tanzania ni zero COVID-19? au vyombo vyetu vya...
hp4510,
Point yangu Mkuu ni tukio zima kuandaliwa kimkakati na CCM hasa baada ya kuvuruga uchaguzi Wa serikali za mitaa na kuwepo na lawama kila kona,kwa sasa CCM hawana Nia nzuri na Taifa hili.
Mimi mwenyewe moyo wangu umesononeka na kuumia Sana wakati naona Magufuli hayuko tayari kuona upinzani nchini.
Magufuli ameua,amefunga wapinzani,amepoteza watu na kujeruhi wapinzani kwa Risasi Leo CDM kirahisi wanasema wanataka maridhiano na CCM hapo wameingizwa chaka,umehalilisha utawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.