Habari wanajukwaa, Natumai mu wazima.
Naomba kuanza kwa kusema sijaleta habari za uhakika kuhusu kitabu tajwa hapo juu, ili nimepata shauku ya kuleta uzi huu ili kupata habari na uelewa au kupata habari za uhakika kwa kuwa JF ni jukwaa la uhakika na kuaminika kwa miaka mitatu sasa ya uzoefu...
Nina miaka 24, naishi Morogoro, hasa Mzumbe, nipo mwaka wa pili chuo, nahitaji kuwa na mahusiano na msichana yeyote atakayejisikia kuwa nahitaji kuwa na mtu wa kumpenda na kuwa future nae.
Sina ubaguzi wowote na ni mpole, huwa nipo bize na kusoma kozi nataka kufika mbali accademically na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.