Mapema leo natumia mtandao fulani wa kijamii nimekutana na hii picha mpaka imenisononesha,vijana toka familia duni wamekua wahanga wa kubwa na ukosefu wa ajira.Huyu bwana mdogo ana degree mwaka wa nne sasa yupo mtaani nimeshtuka sana nilipoona mwonekano mpya sio tena yule bwana mdogo niliomzoea...
Habari wakuu
Natumani mnaendelea vema,tumevalishana pete za uchumba na mpenzi jambo la kushangaza mahali pete ilipo kidoreni kuna maumivu makali napoivua hali ni shwari shida inakuja napoivaa napata maumivu kama nachomwa sindano.
Msaada tafadhari.
Mapema leo siku ya ijumaa ndugu zetu wa upande wapili upenda kuita Ijumaa kukuu nikiwa nimejipumzisha mahali kutokana na uchovu wa pilika pilika za hapa na pale lakini pia na uwepo wa jua kali,zikapita gari zaidi ya 5 zikiashiria ndoa inaenda kufungwa mahali tukio ili limechukua attention ya...
Ukifika unaambiwa inahitajika hela ya maji ili kamati ya ulinzi na usalama ya kata ikujadili endapo ukipangua huu mzinga.
Wanakukamatia kwenye fedha ya ujenzi wa madarasa hapa hauchomoi(fedha zenyewe sidhani kama zinafika sehemu husika)
Heri ya mwaka mpya wanaJf.
Jana ilikua siku ya kipekee pale ambapo tumeaga mwaka 2018 na kukaribisha mwaka mpya 2019.
Majira ya jioni nikatoka ili kunyoosha miguu lakini pia na kutazama wapita njia wenzangu,baada ya kupita hapa na pale nikaibukia chimbo kupata bia mbili nikalale.
Wakati nipo...
Habari Geek
Nimekua nikikumbana na tatizo la adpter ya pc(dell) kuunguza waya wa kiungio unaoelekea kwenye switch ya umeme nimejaribu kubadilisha waya mara kadhaa kwa kudhania nayoumia sio OG ila tatizo liko pale pale.
Msaada tafadhari.
Habari Geeks
Nina plan ya kumchukulia bwana mdogo smartphone kati ya hizo nilizoainisha hapo juu kwaajili ya matumizi ya kawaida,camera na perfomance ya simu husika vinapewa kipaumbele.
Nawasilisha.
Unamtongoza mwanamke baada ya muda kupita habari za mtongozo zinaanza kusambaa kwa watu wake wa karibu ,unaweza kuta kakataa offer ya mahusiano ila wakat unapokatiza mahali walipo wanaanza kusemezana "Yule pale alinitongoza" kwanini wasifanye kupotezea maana hakuna kinachoendelea kati yao
Wakazi wa wilaya ya musoma na viunga vyake tumepata bahati ya kushuhudia ziara ya kikazi ya Dr Magufuli kwa mara ya kwanza baada ya kuingia madarakani,hakika ni jambo la kujivunia kwetu sisi wakazi wa mji huu ikiwemo kushuhudia motorcade ikipewa escort ya ndege tofauti na maeneo mengine nchini.
Mamlaka husika walitutangazia ifikapo tarehe 05/09/2018 channel zote za ndani katika kisimbusi cha startime zinazokadiliwa kufikia 38(kama sikosei) zitapatikana bure bila malipo ya kila mwezi.
Kitu cha kushangaza mpaka muda huu nawasha kisimbusi changu hakuna kitu kama hicho.Sina lengo...
Wakwanza wakati tunafahamiana alidai ni yatima baada ya muda kusonga nikagundua wazazi wote wapo hai tena wazima wa afya huyu alikua mdangaji hakujua nina dhamira ya kuoa hivyo basi akaja na gear ya uyatima kupata slope.
Wapili kuna wakati ukimpigia simu ipo busy karibu muda wote(blacklist)...
Kwema wakuu
Katika pitapita IG nimekutana na post ya bodyguard wa msanii Diamond akiendelea na majukumu yake mengine(kapata boss mpya)
Najua hapa Jf kuna wajuzi,nipeni ronja nini kimemsibu huyu bwana kuacha kazi.
Habari wakuu,kuna jambo limenitatiza japo kwa wengine inaweza kuwa rahisi kulingana na asili ya mazingira waliokulia.Kwa ufupi nina mchumba tumeahidia kuishi pamoja hapo baadae,tatizo limekuja wakati tunanjunjika kwa mara ya kwanza (sababu tulikua maeneo tofaut haikua rahisi kuonana mara kwa...
Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kufanya kazi bila mikataba imepelekea wataalamu katika tasnia ya habari nchini kutokua na ushirikiano hususani pale wapatapo matatizo kazini.
Waajiri wanapaswa kujitokeza kuwatetea mnapata fedha nyingi sana kupitia wao ila wanapopatwa na maswaibu kila mtu kivyake.
Prof Huntington katka thesis yake Military & soldiers state(1945) kazungumzia military and civil authority relation(mahusiano kati ya jeshi na raia) akihainisha baadhi ya mambo militia wata promote peace and stability,wananchi wajibu wao itakua kusupport operation mbalimbali.
Lengo la uzi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.