Habari za jioni wana JF.kichwa cha habari chahusika.Naomba kujua bei ya gari aina ya Toyota Harrier Lexus tangu kuagiza hadi kuingia barabarani au ikiwa yard hapahapa bongo.Natanguliza shukrani.
Naomba tusaidiane waungwana kwenye tofauti ya mtu aliyekunywa bia na aliyekunywa soda.Mimi naamini kua aliyekunywa bia ametumia kinywaji ambacho kimetokana na natural chemistry na aliyekunywa soda ametumia kinywaji ambacho kimetokana na artificial chemistry ambayo ina madhara zaidi kwa mwili wa...
Habarini za jioni wandugu. Kuna baadhi ya familia unakuta beki 3 anafanya kazi zote za ndani kwa 99.9% na unakuta Mama mwenye nyumba yupo, hatukatai kua kuna wamama wenye nyumba hua wanatoka asbh na kurudi jioni kama waume wao cha ajabu akifika nyumbani utamkuta yuko busy na simu na beki 3 ndiye...
Kiwanja kipo eneo la mji mdogo wa kikatiti, Barabara ya Arusha-Moshi ni baada ya kupita maji ya chai kama unaelekea Moshi. Kina ukubwa wa 748 sqm( 22x34m). Kipo mita 400 kutoka Barabara Kuu. Maji, umeme zinapatikana.Kinafaa kwa makazi.Bei 20,000,000/= pungufu tunaongea.
Contact 0787145371.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.