Habari za wakati huu? Leo nimekuja kwenu nikiwa mjasirimali mdogo wa kuuza maandazi baada ya kuanguka.
Nakumbuka niliomba mtaji kutoka kwenu na kuna baadhi walioonyesha moyo wa kunisaidia, nadhani waliingiwa na roho ya uoga baada ya nafsi zao kuwakataza. Nashukuru Mungu niliweza kupata mtaji...
Nawasalimu kwa jina la jamii Forum.
Baada ya kuanguka kiuchumi namaanisha biashara ya awali kufilisika, nimejikuta nipo chini. Hakika ni hali ambayo inaniumiza mpaka nachanganyikiwa.
Najua kuna watu watabeza, lakini kusema ukweli hakuna hali inachosha kama kila unapohitaji kitu umuombe...
Nina shost yangu ni mfanyabiashara mzuri tu wa nafaka na anaingiza faida nzuri kwa sasa.
Ana mtu wake ambaye alisimama bega kwa bega kuhakikisha anafika hapo alipo. Huyo mtu wake kipindi hicho aliamua kuwekeza akili, mawazo na hela kwaajili ya kuhakikisha mpenzi wake anasimama kibiashara. Kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.