kwanini tunafeli kwenye matangazo ya biashara
tangazo linapiga kelele mpaka unaichukia tv yako mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ongezeni ubunifu na sio kupiga makelele tu kuna matangazo yakirushwa hewani unatamani lisiishe
Wadau mbona naona kama vile TV zetu zinapokea matangazo ambayo yana kiwango cha chini sana. Mfano angalia tangazo la coca cola la hao watotot ukiliangalia unajua hili sio la tanzania kabisa. Sasa haya matangazo ya akina mzee amajuto mpaka hata unachoka kuangalia haliana hata mvuto. Pili kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.