Habarini Ndugu zangu,
NAHITAJI MSAADA WENU KATIKA HILI
1. Ninapata changamoto hii ya suala zima la ANUWANI SAHIHI ya kujazwa kipindi natuma maombi ya kazi katika mfumo wa ajira portal. Mfano kuna baadhi ya post nafasi za kazi unakuta umeandikiwa moja kwa moja anuwani ya kuwasilisha maombi yako...
sawa mkuu watanzia tumeona
lakini pia baadhi yetu tunapia changamoto hii
baadhi ya kazi zinatolewa kwa Umma mfano kama hii katika uandishi wa barua ya maombi ya kazi katika upande wa anuwani au address ya sehemu husika ndio hua inatupa changamoto
ajira kama hii anuwani ni ipi inapaswa kuwekwa...
Wapendwa samahani sana,
Naomba kufahamu kuhusu zile nafasi za kazi kwa wake waliotuma maombi Aprili 2022, ni kweli majina yalishatoka?
Usahili tayari umefanyika na wameingizwa kazini?
Habarini nyote vijana wenzangu na pia wakubwa shikamoni
nipo na idea au mawazo ya kuanzisha kipindi cha television
idea ya kipindi ninacho pamoja na muongozo mzima wa kipindi na namna ya uendeshaji
Tatizo sijui garama ya kuendeshea kipindi hicho kwa tv
hivi nilikua naomba mmakadirio yenu Mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.