Yaan iyo mdada apo juu ni real definition of ukichaa wa dini, Mungu mwenyewe anatafutwa kwa akili, umepewa ubongo ebu utumie asee, Uko mahakamani kwa akili izi unapigwa mapema sana na hamna ata kumi utapata hauwajui wanadamu ww, ety kesi itapangiwa hakimu mwanamke ivi unafikiri kila mwanamke ni...
Mkuu usemayo ni kweli road imejaa mahandaki nimepita uko leo nimeona kuna hospital kubwa tu apo nkawaza ikitokea rufaa au mgonjwa kupelekwa apo anafikaje asee?? Road ni mbaya sijawahi ona mwenyeji wangu akaniambia uku wakurya wameridhika zao nana pikipiki au baiskel za mayai au maziwa...
Hivi hii kampuni ya Kambele ni ya mkubwa gani hapa mjini? Maana asee sio mara moja au mbili wanasababishaga migogoro ya ardhi, mf wanafoji nyaraka wanauza viwanja vya raia au kiwanja kimoja mara kadhaa, nasisitiza sio mara moja nimekutana nayo haya mamigogoro halafu viongozi wa kata hawana...
Very simple Nenda mahakamani pinga uteuzi wa uyo msimamizi kwasababu hizi na nyinginezo mf mda mrefu aliotumia kusimamia na mrejesho zero, atatenguliwa then mkuu ww upo hair watoto wakiume mirathi itagaiwa kwenu na asilimia chache sanaaa inaenda kwa wazaz wake mwanamke uyo shemeji mduansii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.