NAUZA TABLET NINAYOITUMIA
NI
SAMSUNG GALAXY TAB A 9.7
Model number SM-P555
WHITE in colour
android version 7.1.1 (Nougat)
RAM 2GB
INTERNAL 16 GB
Very slim
INA MIEZI SITA SASA
HAINA TATIZO.
SIJAIROOT
BEI NI MAELEWANO
0687 93 35 34/ 0737017347
Nimeshindwa namna ya kupandisha picha,
Habari wanajamvi,
Nimejichangachanga nimepata 12M, je naweza kuagiza gari tajwa hapo juu kutoka Japan.
Pia, ukiacha makampuni ya Beforward na Tradecarview, nani wengine wenye huduma nzuri na makini.
NYONGEZA
Mwenye ujuzi au taarifa yoyote kuhusu hii gari asisite kutupia neno.
NAWASILISHA...
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo.
Ukubwa:
Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji
Sehemu/eneo:
Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu
Wilaya ya mkuranga-mkoa wa pwani.
Bei:
Maelewano/kupatana
Mawasiliano
0687 93 35 34.
0715 84 83 16...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.