Juzi kati Baraza la kwanza la Mh.JPM lilikaa kikao chake cha kwanza. Kawaida Mainabu waziri si sehemu ya Baraza.
Najiuliza wakati wa kikao waziri 4 hazikuwa na wawakilishi? Au waliingia ?
Kama hawakuwepo utekelezaji wa maagizo/ maazimio itakuwaje kwa waziri husika?
Naombeni wana Jikwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.