Sasa kakaaaa... mwanamke utaopoa hivyo kweli kwa staili hiyo mzee... unaweza ukaenda ukawaona hao wazungu na bado usifanye kitu hata... nenda Kwenye Hotel kubwa kubwa... get seated at the Lobby order for a cup of Coffee then Chill... you have to this consecutively bro... utapata tu... japo...
Asee tafadhalini ... kuna mtu anafahamiana na Promoter yoyote wa mchezo wa ngumi..!? Naombeni nisaidieni namba ya promoter yoyote wa ngumi tafadhalini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.