Wadau napenda kutumia fursa hii kuulizia namna gani naweza kupata nafasi ya internship kwenye mambo ya media sanasana kwenye TV(video visual editor and graphics).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kampuni inayojiusisha Na utotoleshaji Wa vifaranga Na kuunza vifaranga aina ya Chotara(Malawi,chroiler,n.k).kampuni hii imesajiliwa kiserikali...inakupa fursa we we Mjasiriamali kuwezakupata vifaranga kwa bei nzuri...Tunapatikana mkoa Wa Mwanza ila biashara hii itamfikia hadi watu Wa...
Ni kampuni inayojiusisha Na utotoleshaji Wa vifaranga Na kuunza vifaranga aina ya Chotara(Malawi,chroiler,n.k).kampuni hii imesajiliwa kiserikali...inakupa fursa we we Mjasiriamali kuwezakupata vifaranga kwa bei nzuri...Tunapatikana mkoa Wa Mwanza ila biashara hii itamfikia hadi watu Wa...
Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo zilizokuwepo...Na hazionyeshi..mnisaidie watu wangu Wa Nguvu.
Ukiwa ni miongoni mwa vijana unaependa kujiajiri ila mtaji umekosekana...mimi ni mmojawapo...natafuta watu ambao wanaweza kutafuta watu/ofisi...zinaohitaji vitambulisho.
Kazi yangu itakuwa kudesigning vitambulisho vyao, matangazo ya kawaida, kadi za biashara, logo(chata),invite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.