Nawaza,
chatGPT au hata google bard zimekua msaada mkubwa kutoa majibu ya issue mbalimbaliu kwa siku za karibuni. Naona kama hizi car diagnosis devices zikiwa integrated na chatGPT au google bard zitakua more eeficient. Kwa sasa hizi devices zinatoa results kwa code, ambazo kama sio mtaalamu...
Habari,
Juzi kuna mdau kasimamishwa na Traffic police anataka amwandikie fine kisa ubovu wa gari yaani bumper la mbele limeharibika,
Tulikua tunawaza, huu ujasiri wanautoa wapi? Bumper la gari limeharibika kutokana na ubovu wa barabara, kwa nini fine wasitozwe wajenzi wa barabara kwani wao ndo...
Aisee kwa muda mrefu nilikuwa naiaminia internet speed ya airtel..lakini kwa hizi siku za karibuni...kasi ya airtel ni ndogo mno...kama konokono....kufungua kapage kadogo dogo tu kapdf kanaloooodi...mumeshatuboa airtel..mjipange upya...mbaya zaidi umenunua kifurushi cha 1gb..then kasi ndo hio...
Habari za asubuhi wanabodi,..nilikuwa naomba msaada kwa anaye jua taratibu zote za kuanzisha Dispensary anisaidie tafadhali.
Nilichokifanya hadi sasa:
Nimepitia website ya Wizara ya Afya lakini sijapata maelezo ya kutosha
habari za asubuhi wakuu...hili liwebsite la TCU mbona halifunguki ukizingatia applications zote ni online
http://www.tcu.go.tz/ wakuu kama kuna unachawi mwingine unatumika kufungua hii website tusaidiane..
Nawasalimu,
Wadau hivi lile eneo la pale karume ambalo utakuta magari ma 2/3 yameegeshwa na hawa machinga wakiwa wamepanga bidhaa zao lilijengwa kwa lengo gan? Maana parking sio parking na pia sio soko.
hope mko poa.....nahitaji kujua kama kuna VIDEO CONVERTER katika hiyo package ya adobe master collection cs5.5 na kama ipo, nitajie jina yaitwaje?.....thanks in advance
i thank god i did the following
1. I lived 2 decades(1990-2012) 2. I survived 2 centuries(1900-2000) 3.i have seen 2 millenium(1000-2000)...happy twenties.,..we rock ...
hey open the link EXCEL VIDEO TRAINING/TUTORIALS the site looks exactly like JF except few parts .....can any one tell me ni tool imetumiaka kutengeneza JF ?(just curious).....
Habari waungwana...nauliza
1,hospitali gani wanafanya hiyo surgery?.
2.inagharimu kiasi gani?
3.efficiency yake ukilinganisha na kuvaa miwani ikoje?
mjuzi yeyote naomba afafanue hapa au PM .....thanx in advance
awali ya yote nitoe pongezi kwa kukamilisha mashindano hayo kwa mwaka huu...upande wa wangu niliona utoaji wa zawadi kwa washiriki mbalimbali ulikuwa mbovu...kwa maana ya kuwa tuliona pale kuwa watu walikuwa wanapewa pesa cash zikiwa kwenye bahasha...hii ilianzia wachezaji hadi timu...
Wakuu,
kutokana na uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kuwa siku za hivi karibuni kumekuwa na idadi kubwa ya watu(hapa Tanzania) kufa kwa ugonjwa wa moyo......so nilikuwa naomba kujuzwa vyanzo vya ugonjwa huu na namna ambavyo tunaweza kujizuia nao...:help:
nimepitia habari ya gazeti la mwananchi asubuhi hii...mbunge mmoja anashauri walimu ambao ni wafungwa magerezani watumike kufundisha shule za kata.SWALI;huko magerezani kuna waalimu wangapi?
huu ni ushauri wa bure,siasa ni mchezo ambao hautabiliki na hii ni kutokana na sababu ya kuwa inapelekea kwenye kutafuta madaraka,kwa wale ambao wanaamini mungu watakubaliana nami kuwa hakuna ufalme wa milele ila kwa mungu pekee,but for the long time i have seen people...
Ni ukweli usiopingika kuwa hapa tz hakuna chuo kizuri kwa science oriented courses than UD,lakini cha kushangaza hao wasomi tunaowategemea kila siku wako kwenye migomo,ni kweli wanadai haki sawa,lakini sasa inatosha,hiki chuo kimeanzishwa miaka mingi iliyopita,kina maprofessa waliobobea katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.