Hivi nyie mnaoshabikia vita mnapata fiads Gani?. Sasa hivi Kila sehemu kuna vita inandelea watu wanakufa day in day out badala ya kuangalia namna ya kusuluhisha mpo humu mnashabikia vita kama utani wa jadi wa Simba na Yanga. Acheni haya mambo , you can do better.
Ishu ni kwamba ujenzi unaendelea, mkandarasi haja- handover mradi, maana yake anayoo nafasi ya kurekebisha kabla ya mradi kuisha na hicho ni kitu Cha kawaida kwenye miradi ya ujenzi,
Lakini kelele zinazopigwa as if bwawa ndo limeharibika na mradi wote ni hasara,
Hii inaonesha uelewa wa watu...
Nawaza,
chatGPT au hata google bard zimekua msaada mkubwa kutoa majibu ya issue mbalimbaliu kwa siku za karibuni. Naona kama hizi car diagnosis devices zikiwa integrated na chatGPT au google bard zitakua more eeficient. Kwa sasa hizi devices zinatoa results kwa code, ambazo kama sio mtaalamu...
Elimu ya Tanzania sio ya hovyo hata kidogo, Iko poa kabisa, ukimaliza High school Tanzania unaweza kusoma Harvard bila shida yoyote, hii inaonesha elimu yetu Haina tatizo,
Kinachokosekana Tanzania ni technology tu.
Elimu iheshimiwe kwa kweli, ndio kitu pekee kitatupa maendeleo, ni mara chache sana kumkuta mtu mwenye good grades akiponda elimu,
Sio sahihi kupima umuhimu wa elimu kwa fedha mtu anazomiliki, watu wengine ni majambazi ndo utajiri wao ,
ELIMU ELIMU ELIMU
Hiyo mbona ni kawaida!..shuleni wanapata knowledge kazini wanahitaji skills,
Knowledge ya shule inasaidia kumaster skills kwa haraka so sioni tatizo,
Hata hao unaona waona Bora hawakumaliza chuo wakajua hapo hapo...wamejifunza kazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.