Salamaaaaaa!!
Natumia ipad air2 juzi nikaamua ku hide baadh ya contacts kwenye app ya viber. On the pogress ikanidai nitegenze password na touch id. Nikafanya hivyo sasa tatizo ni kwamba nikitaka kuchat na zile contacts nilizohide inanidai TOUCH ID FOR VIBER. nimekwama msaada kwenye tuta mtu...
Habari gani wadau,
Natumaini weekend iko poa na inaishia vizuri na tunajiandaa kwa mchaka mchaka wa wiki nzima.
Hebu tupeane mawazo zaidi. Kwenye hili jambo. Maana limekuwa gumzo kwa maisha ya sasa. Lets say umekutana na bi shosti ukamuelewa ukatupiamo mistari akaingia king.
Mkaanza...
Sasa hivi kila mtu anataka kufungua blogspot. Kwa takwimu zangu zisizo rasmi kuna zaidi ya blogs 60. Bas fanyeni seriousness maana wengine wanaweka taarifa hawana uhakika nazo. MNATUMISLEAD.
Hivi hawa jamaa ambo wana charge shiling 300 kwa saa huku mjini kwa kigezo cha parking. Wana manufaa gani? Cjui nyinyi wadau. Na endapo ukigoma kualipa inakuwaje?
Habari wadau. Kwa mwenye ujuzi na biashara hii anipe maelekezo inaendeshwaje mtaji wake , n.k. Niko interested na hii biashara lakin sijui chochote kuhusiana nayo.
Habari wadau,
Mimini kijana mchakarikaji hapa mjini. Katika kutafuta njia ya kuweka maish yangu na familia yangu level flani ambayo hata nikiondoka wasipate taabu. Elimu yangu ni ya kawaida. Nina advance diploma ya IT na diploma ya TAX ( maswala ya kodi). Lakini shughuli zangu zime base...
Habari wadau Naomba msaada wa ushauri kwa tatizo hili. Naumwa sana kichwa upande mmoja na huwa hata ninywe dawa gani ya pain killer hakiachi mpaka nilale kwa muda mrefu. Pia jicho la upande huo huwa linatoa machozi.
Naweza Kuwa na tatizo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.